GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
Hivi ambaye huwa anampiga picha kila mara huwa anamlazimisha awe anatabasamu? Hiyo Channel anayoitizama hapo inaitwaje? Na hiyo Juice hapo pembeni ya hizi hizi za Azam au ni za huko huko mbele? Hata Mimi kiukweli nimefarijika mno kumuona Tundu Lissu akiwa anaendele kupata ahueni hiyo.