Umeshapanic tayari mnywa mbege wewe!........ Hiyo saccos ya chagadema ndio kwishney na uharamia wenu wa kuwachachawangwe wasiotokea migombani?Saga chupa umeze. Kaskazi ndo nini? Unakanyagwa wewe. Matatizo yako yote, ujinga wako wote umesababishwa na hao unaowachukia? na bado boya wewe. Utakula kwa urefu wa kamba yako mbuzi mee wewe.
Ndio. Ni lini itakuwa??
Serikali yako ndiyo inayoomba msaada wa dfp. Nawe ni mpiga kura tu kuchagua shit hole.Anayeona DFP ndio msaada sana.
Usishiriki dhambi za watu wengine. Wala usiwasukumie watu wengine dhambi uliyoitenda wewe.Huyu dogo asipohama Chadema basi atakuwa na matatizo ya kiakili. Chama chake kilitaka kumuua kwa sababu anaropoka sana na kutishia maisha ya chama kwani Mbowe hataki mwingine atawale zaidi yake.