Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,781
- 3,074
- Thread starter
- #41
Mkuu, iwe mbingu ipi au haipo, cha msingi pata pesa za kutosha kwanza.Nje ya mada, mbingu yenyewe ipo?
Na hapo utagundua ubishani wa kama mbingu ipo au haipo ni faraja wanazojipa masikini.