Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Hawa ndiyo wanachadema, hawana adabu kabisaThat is the lowest you can fall. Pathetic.
Hawa ndiyo wanachadema, hawana adabu kabisaThat is the lowest you can fall. Pathetic.
Kubambikia watu kesi si jambo zuri. Mungu hapendi, waambie CCM hilo jambo si jema kabisaHawa ndiyo wanachadema, hawana adabu kabisa
Kijana futa hii kabla hatujaingia kazini.
ah ah ah... suala la first genttleman ni kuwa waliisha hachana, ivyo tulia mkuu.Bi Mkola naye kapiga picha kama UVCCM.
Pia awe anasafiri na first gentleman
Kwa hiyo mama yako,ni kiongozi wa familia yenu,naye pia atukanwe?Haya mama yako ni KAHABA wa nyumbani.Ukiwa kiongozi lazima utukanwe, narudia Tena ukiwa kiongozi lazima utukanwe
Ukitaka usitukanwe basi Usiwe kiongozi
Hivi tayari wameshayaingiza sokoni au bado yako kwenye pilot phase tu ?Hayo magari yanayounganishwa vipande vyake Rwanda, tutayanunua baada ya vipande hivyo kupitia hapa Tanzania na kusafirishwa hadi Rwanda, kuviunganisha, na kuyarudisha hapa tuyanunue!, kwa bei poa kuliko ile ya kusafirisha gari moja kwa moja toka Ujerumani!
Umenena kweli tupu.Wengine ni watoto wa zinaa hawanaga heshima kabisa
Itakuwa kapewa na ni hiyo aliyoamua kuuzia sura...sasa rais ssh yeye katokea Znz kule hawana asili ya ufugaji.
..ukimpa ng'ombe wanaweza kwenda kufa kwasababu hana ujuzi wala mapenzi ya kufuga.
..na-suggest rais ssh apewe motokari moja toka hapo kiwandani.
Kwa hiyo mama yako,ni kiongozi wa nyumbani kwenu,naye pia afaa atukanwe??Ukiwa kiongozi lazima utukanwe tu. Wala huwezi kukwepa na kama unaumia utaumia sana maana kadri siku zinavyoenda ndio matusi yatazidi
Ipo hivi, ikiwa kiongozi hutaki utukanwe basi achia uongozi nenda kalee wajukuu
Kwa hiyo mama yako,ni kiongozi nyumbani kwenu,pia afaa atukanwe.Mkuu kiongozi ni lazima utukanwe
Kama kiongoz hataki kutukanwa basi aachie uongozi akalee wajukuu
Jamaaa anaonekana anamchukia bimkubwa kweli kweli . Lakini sawa muache afanye hivyo but akumbuke angekuwa mama yake sijui kama angefanya hivyoVery unfair aisee. Licha ya kwamba ni Rais ambaye humpendi, kumbuka kuna watu wanamuita mama. So umemkosea sana adabu aisee
Nakutafuta biatch, nikikukamata utajutaKaa kwa kutulia hata mwaka bado, tutapiga mpaka achakae. Hawezi aache , Akujifunza kwa Mwendawazimu.
Atamtukanaje mama wa mtu mwingine,wakati na yeye anaye mama,ajuwe na mama yake pia atatukanwa.Tunawasubiri hawa wapuuzi tarehe 5, tutawanyoosha kweli kweli
KAHABA ni KAHABA tu, tamaa na vitu vidogo na hariziki hata umpe dunia na vyote vilivyomo ndani yake. Mdau yupo sahihi.
nimeangalia logo yako nikagundua hasira zako kuweni na amani atatoka tu mwenyekiti wa mileleKaa kwa kutulia hata mwaka bado, tutapiga mpaka achakae. Hawezi aache , Akujifunza kwa Mwendawazimu.
Usisahau Bagamoyo kulikuwepo na ranch maalum kwa ajili ya Zanzibar. Ni swala la kuifufua tu! Tena itakuwa jirani na ya yule rais mwingine!..sasa rais ssh yeye katokea Znz kule hawana asili ya ufugaji.
..ukimpa ng'ombe wanaweza kwenda kufa kwasababu hana ujuzi wala mapenzi ya kufuga.
..na-suggest rais ssh apewe motokari moja toka hapo kiwandani.