Picha: Rais Samia akiwa kwenye kiwanda cha Volkswagen nchini Rwanda

Usisahau Bagamoyo kulikuwepo na ranch maalum kwa ajili ya Zanzibar. Ni swala la kuifufua tu! Tena itakuwa jirani na ya yule rais mwingine!

..kama kumbukumbu zangu ziko vizuri, ranchi ya makurunge, iliyokuwa ya smz, magufuli alimpa mzee bakhresa aanzishe shamba na kiwanda cha miwa.
 
Hivi tayari wameshayaingiza sokoni au bado yako kwenye pilot phase tu ?
Pilot ya nini tena mkuu, kuunganisha vipande vilivyotayari kuunganishwa unataka tena pilot ya nini?

Kila kitu kinaletwa ndani ya boksi, kinaunganishwa hapohapo kwenye karakana, gari inatoka, huna shida tena ya kusema ufanye utafiti hapa wala pale juu ya kitu chochote.
 
Pilot ya nini tena mkuu, kuunganisha vipande vilivyotayari kuunganishwa unataka tena pilot ya nini?

Kila kitu kinaletwa ndani ya boksi, kinaunganishwa hapohapo kwenye karakana, gari inatoka, huna shida tena ya kusema ufanye utafiti hapa wala pale juu ya kitu chochote.
Nawe unasapoti matusi ya jamaa yako hapo juu kumuita Samia Kahaba?
 
..kama kumbukumbu zangu ziko vizuri, ranchi ya makurunge, iliyokuwa ya smz, magufuli alimpa mzee bakhresa aanzishe shamba na kiwanda cha miwa.
Sawa kabisa. Kumbukumbu zako zipo vyema. Hayo ni maelfu ya maekari mkuu. Kuchonga ekari 50 kwa mama haiwezi kuwa shida yoyote.

Lakini Magufuli kweli alikuwa chuma. Wale ng'ombe aliopewa, hata sijui kama alitoa shukrani kabla hata hajawafurumusha wanyarwanda waliokuwa wamevamia hifadhi. Nadhani hiyo ndiyo ilikuwa sababu ya Bwana Reli (Kagame) kujifanya kama kazira!
Sasa sijui kama na huyu mama ataanza tena kufurahi na kupata anachotaka Tanzania.
 
Pilot ya nini tena mkuu, kuunganisha vipande vilivyotayari kuunganishwa unataka tena pilot ya nini?

Kila kitu kinaletwa ndani ya boksi, kinaunganishwa hapohapo kwenye karakana, gari inatoka, huna shida tena ya kusema ufanye utafiti hapa wala pale juu ya kitu chochote.
Bei yake zinaenda ngapi mkuu ?
 
Sawa kabisa. Kumbukumbu zako zipo vyema. Hayo ni maelfu ya maekari mkuu. Kuchonga ekari 50 kwa mama haiwezi kuwa shida yoyote.

Lakini Magufuli kweli alikuwa chuma. Wale ng'ombe aliopewa, hata sijui kama alitoa shukrani kabla hata hajawafurumusha wanyarwanda waliokuwa wamevamia hifadhi. Nadhani hiyo ndiyo ilikuwa sababu ya Bwana Reli (Kagame) kujifanya kama kazira!
Sasa sijui kama na huyu mama ataanza tena kufurahi na kupata anachotaka Tanzania.
Pua ndefu na n'gombe zao tayari wameisharudi Tanzania kama kawaida...jamaa aliyekuwa anawakomalia kahamishiwa huko kwa wamakonde! TAnzania raha sana!
 
CCM miaka na miaka hata kiwanda cha Peugoet 504 wameshindwa kuweka nchini huko wao ni kupambana na kila mpenda mabadiliko..

Tumebaki kusema Mwanza ni kubwa kuliko Rwanda ila ndio Rwanda inapaa hivyo!
Hili jambo huwa ninaliwaza sana na kunikosesha raha.

Mwanza, au mikoa mingine ya hapa Tanzania, au hata chukulia ukanda wa mikoa tu, kwa mfano Kanda nzima ya Ziwa.
Kwa nini Rwanda iwe na uchumi mkubwa kuzidi wa eneo zima la nchi yetu?

Labda wachumi na wengine wanaweza kulieleza vyema jambo hili.

Huwa linanikera sana!
 
Hofu yangu ni hicho kijamaa chembamba kama earth rod kinaweza kumfundisha mama udikiteta
 
Hawa jamaa wanatengeneza VW sikujua....
tunahangaika kuagiza magari ya fahari mbali kumbe kwa jirani yapo..!!!?
I think I hv to make a trip to Kigari and grab one....
Wana 'assemble' sio kutengeneza.

Nadhani na sisi tungetafuta walau namna ya ku assemble Bajaji na Pikipiki ingetosha sana tu maana biashara yake ni kubwa wala hakuna haja ya ku assemble Magari.
 
Ukiwa kiongozi lazima utukanwe, narudia Tena ukiwa kiongozi lazima utukanwe
Ukitaka usitukanwe basi Usiwe kiongozi
Kutukanwa sio moja ya sifa ya kiongozi.
Katika sentesi yako ondoa neno "lazima" kiongozi atukanwe.

Kuna wajinga wachache wanaodhani ili ujumbe ufike lazima wamtukane kiongozi.
Kwa umri wa Rais Samia kumtolea lugha ya kejeli au matusi sio sawa kabisa, huyo ni Rais lazima aheshimiwe hata kama humpendi ila ndiye Rais wetu.

Vumilia akimaliza wakati wake utachagua Rais umpendaye.
Mi kuna wakati Hayati Magufuli alinikwaza ila sikiwahi kutoa lugha za matusi dhidi yake licha ya kumlalamikia tu
 
Kagame ingawa ni Dikteta sugu ila ana akili sana anawazidi kwa mbali mno hawa marais wa East Africa. Wa pili ni Kenyatta...

Wengine hawa ni mwendo wa kudra za mwenyezi Mungu.
Anaupiga mwingi kwenye kujipendekeza kwa mabeberu...
 
Maendeleo makubwa yanayofanywa na NDUGU ZETU RWANDA.....

Badala ya kuagiza Volkswagen kutoka nje,watanzania tuanze kuziagiza kutoka RWANDA ili tuendelee kuimarisha chumi za nchi zetu.......

#KongoleMh.SSH
#SiempreUhusianoWetuNaRwanda
#SisiNiWamoja
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Ni watanzania wangapi wenye uwezo wa kunua gari 0km? Wenye uwezo huo waagiza kutoka popote pale,naamini hata hayo magari ya twanda yapo kwenye barabara zetu pia,ila ni kwa uchache sana,uchumi wetu bado ni wa mitumba.
 
kwakweli watanzania wenzangu na haswa viongozi mliopewa Dhamana kama vile Mwaziri, Makatibu wakuu ma watendaji wengine ktk taasisi mbalimbali kama kweli mnaipenda Tanzania basi kuna jambo la kujifunza kutoka Rwanda.
nimeshangaa sana kuona Magari yanayo unganishwa ktk kiwanda kilichopo Rwanda.
nimeshangaa sana kuona Kuna kiwanda cha kutengeneza simu, hivi watanzania nani katuloga?!
maneno mengi hakuna matendo,
kila mara wanateuliwa wasomi, maprofesa, madokta lkn hakuna tija wala mabadiliko.
Rwanda ni nchi iliyo pitia vipindi vigumu sana lkn leo hii.sisi amabao tumedumu ktk Amani na utulivu bado tunachonga maneno tu!
nimekasirika sana inabidi tukimbie ktk kufanya maendeleo.
Mungu ibariki Tanzania
 
Kagame ingawa ni Dikteta sugu ila ana akili sana anawazidi kwa mbali mno hawa marais wa East Africa. Wa pili ni Kenyatta...

Wengine hawa ni mwendo wa kudra za mwenyezi Mungu.
Mtasifu sana,lakini huko kote ni takataka tu.
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom