Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Inasikitisha....Hapa ndipo Sukuma gang na Chaga Gang wanapokosea...........Siasa matusi na sio hoja
Inasikitisha....Hapa ndipo Sukuma gang na Chaga Gang wanapokosea...........Siasa matusi na sio hoja
Wengine ni watoto wa zinaa hawanaga heshima kabisaHuyo ni Rais wa nchi kuwa na adabu mkuu
Watoto wa teuzi hao wa bi, Chokochoko, wanajiongeresha kama wamekatwa vichwa.Unaweza kufafanua nini maana ya sukuma gang na chaga gang ewe mwana mpotevu?
Akili ya kunywa damu sasa hako kakijiji tilioni 7 tu alizompiga mwanafunzi wake si kanabadilika sekunde tu.Kagame ingawa ni Dikteta sugu ila ana akili sana anawazidi kwa mbali mno hawa marais wa East Africa. Wa pili ni Kenyatta...
Wengine hawa ni mwendo wa kudra za mwenyezi Mungu.
Achana nao hawa mkuu, hawana adabu, kama waliweza kumpokea Lowassa awe mgombea wao urais watashindwa nini?Duuh
Mkuu unatukana sana....
Mkuu matusi siyo....Bi Mkola naye kapiga picha kama UVCCM.
Pia awe anasafiri na first gentleman
Ukiwa kiongozi lazima utukanwe tu. Wala huwezi kukwepa na kama unaumia utaumia sana maana kadri siku zinavyoenda ndio matusi yatazidiKuanzia mtoa uzi na mchangiaji wewe mnatumia lugha za mauzi na zinazokera.
Huna akiliNimetukana wapi? Wewe huoni walivyopendeza
Mkuu kiongozi ni lazima utukanweVery unfair aisee. Licha ya kwamba ni Rais ambaye humpendi, kumbuka kuna watu wanamuita mama. So umemkosea sana adabu aisee
Walipiga "u turn" wakamsafisha kwa tuhuma walizompa....🤣Achana nao hawa mkuu, hawana adabu, kama waliweza kumpokea Lowassa awe mgombea wao urais watashindwa nini?
Wasukuma wanasingiziwa tu, CHADEMA ndiyo hawana adabu kabisaHapa ndipo Sukuma gang na Chaga Gang wanapokosea...........Siasa matusi na sio hoja
Hii picha kiitifaki haijakaa vizuri, inavosomeka hii picha, kama ni makabiziano ya zawadi ya gari hilo aina Volkswagen
Huyo hana mama....amedondoka toka mtini.....Ulichoandika hapa ni kibaya mnoo, mnooo....
Aina hii ya demokrasia ndiyo naisikia leo. Labda mimi ni mbumbumbu wa aina hii mpya ya demokrasiaMkuu kiongozi ni lazima utukanwe
Kama kiongoz hataki kutukanwa basi aachie uongozi akalee wajukuu
Sina kazi na akiliHuna akili
Hasara Sana yule Bwana leo tusingekamuliwa tozoHaa haa haa.. Mwendawazimu kapigwa ngapi 😄
Tatizo mtupoli alijitia kujua sana , acha apigwe KICHAA yule.
Ndio maana IGP Sirro anawapelekea Moto....Aina hii ya demokrasia ndiyo naisikia leo. Labda mimi ni mbumbumbu wa aina hii mpya ya demokrasia
Nionyeshe katiba au kifungu cha sheria kinachoruhusu hayo,maana mkiminywa mnakimbilia kweny balozi za wazungu,beside matuc mnayotukana hayajawahi kupunguza ugum wa maisha au hata kukupunguzia stress ulizo nazo.Ukiwa kiongozi lazima utukanwe tu. Wala huwezi kukwepa na kama unaumia utaumia sana maana kadri siku zinavyoenda ndio matusi yatazidi
Ipo hivi, ikiwa kiongozi hutaki utukanwe basi achia uongozi nenda kalee wajukuu