Kinachoendelea katika ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan Nchini India Oktoba 08, 2023

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,987
RAIS SAMIA AWASILI INDIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili jijini New Delhi, India leo tarehe 08 Oktoba, 2023 kwa ajili ya kuanza ziara ya kitaifa ya siku nne nchini humo.

Mapokezi rasmi ya Rais Dkt. Samia yatafanyika tarehe 09 Oktoba, 2023 ambapo atapokelewa na mwenyeji wake Rais wa India, Mhe. Droupadi Murmu kwa pamoja na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mhe. Narendra Modi.

Ziara ya Rais Dkt. Samia nchini India ni mwendelezo wa ushirikiano na uhusiano mzuri wa kihistoria uliopo kati ya nchi hizi mbili ambapo sekta muhimu nchini kama Afya, teknolojia, kilimo, uchumi wa buluu, biashara, uwekezaji, maji na elimu zinatarajiwa kuwa kipaumbele cha majadiliano wakati wa ziara hii.

F76sYFwWoAAFOhg.jpeg

F76sYFuW8AAwPF-.jpeg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiendelea na kazi wakati akiwa safarini kuelekea Mji wa New Delhi nchini India kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa tarehe 08 Oktoba, 2023. Mhe. Rais Samia alitumia usafiri wa Ndege ya Shirika la ATCL ambalo limeanza safari zake kutoka Tanzania mpaka India.

F7624HRXIAAE63e.jpeg

F763oyTXkAEuufb.jpeg

F7624HSWgAAF9EI.jpeg

F763RHlXoAAsZQ4.jpeg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Indira Gandhi, New Delhi nchini India kwa ajili ya kuanza rasmi ziara ya Kitaifa tarehe 08 Oktoba, 2023.

F764j7XWEAAdeM3.jpeg

F764j7iW4AAtwoc.jpeg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiangalia kikundi cha ngoma cha asili ya India kikitumbuiza mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Indira Gandhi, New Delhi-India kwa ajili ya kuanza rasmi ziara ya Kitaifa Oktoba 08, 2023.
F76412hXoAAzJUM.jpeg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Watanzania mara baada ya kuwasili New Delhi nchini India kwa ajili ya kuanza rasmi ziara ya Kitaifa tarehe 08 Oktoba, 2023.

F77ZxFJW0AAPw5y.jpeg

F77Yb2AXUAA6FKR.jpeg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje ya India Mhe. Dkt. Subrahmanyam Jaishankar mara baada ya mazungumzo New Delhi nchini humo tarehe 08 Oktoba, 2023.
F78g8JIXAAAO8SE.jpeg



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wafanyabiashara pamoja na Wawekezaji mbalimbali wa Tanzania wakati akiwa njiani kuelekea New Delhi kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa nchini India tarehe 08 Oktoba, 2023.​
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=I_xFQgG0uGA
President of United Republic of Tanzania, Samia Suluhu Hassan arrived for state visit to India on Oct 08, 2023.

She received a grand welcome with traditional dance and songs at the airport. President Samia Suluhu Hassan will be accorded a ceremonial welcome at forecourt of Rashtrapati Bhawan.

She will meet President Droupadi Murmu during her visit from Oct 8 to Oct 10. President Murmu will also host a state banquet for President Samia Suluhu Hassan. The Tanzanian President will hold a detailed bilateral dialogue with PM Modi.

She will also participate in a business and investment forum in New Delhi on October 10. Notably, a Presidential visit from Tanzania is taking place after a span of over 8 years
Source : ANI
 
Zuga tu hapo, hiyo ni orodha ya viungo vya pilau na pilipili na garam masala.
F76sYFuW8AAwPF-.jpeg
 
Mungu tunusuru , naogopa kuwa the whole of kilimanjaro might be sold and chagas required to go to han
RAIS SAMIA AWASILI INDIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili jijini New Delhi, India leo tarehe 08 Oktoba, 2023 kwa ajili ya kuanza ziara ya kitaifa ya siku nne nchini humo.

Mapokezi rasmi ya Rais Dkt. Samia yatafanyika tarehe 09 Oktoba, 2023 ambapo atapokelewa na mwenyeji wake Rais wa India, Mhe. Droupadi Murmu kwa pamoja na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mhe. Narendra Modi.

Ziara ya Rais Dkt. Samia nchini India ni mwendelezo wa ushirikiano na uhusiano mzuri wa kihistoria uliopo kati ya nchi hizi mbili ambapo sekta muhimu nchini kama Afya, teknolojia, kilimo, uchumi wa buluu, biashara, uwekezaji, maji na elimu zinatarajiwa kuwa kipaumbele cha majadiliano wakati wa ziara hii.

View attachment 2775651
View attachment 2775652
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiendelea na kazi wakati akiwa safarini kuelekea Mji wa New Delhi nchini India kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa tarehe 08 Oktoba, 2023. Mhe. Rais Samia alitumia usafiri wa Ndege ya Shirika la ATCL ambalo limeanza safari zake kutoka Tanzania mpaka India.

View attachment 2775654
View attachment 2775658
View attachment 2775656
View attachment 2775657
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Indira Gandhi, New Delhi nchini India kwa ajili ya kuanza rasmi ziara ya Kitaifa tarehe 08 Oktoba, 2023.

View attachment 2775661
View attachment 2775662
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiangalia kikundi cha ngoma cha asili ya India kikitumbuiza mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Indira Gandhi, New Delhi-India kwa ajili ya kuanza rasmi ziara ya Kitaifa Oktoba 08, 2023.
View attachment 2775665
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Watanzania mara baada ya kuwasili New Delhi nchini India kwa ajili ya kuanza rasmi ziara ya Kitaifa tarehe 08 Oktoba, 2023.
View attachment 2775670
Mungu tunusuru. What next? Kilimanjaro mountain?
 
Asije akasaini mikataba kama ile ya kule Dubai alipozuru.
Hao akina Sharuh Khan ni matapeli sana na corrupt.
 
Rais Samia Hassan katika mazungumzo na waziri wa mambo ya nje wa India Dr S Jaishankar


External Affairs Minister Dr S Jaishankar met Tanzanian President Samia Suluhu Hassan on October 08 in Delhi.


View: https://m.youtube.com/watch?v=K4y0zj1e5qM

External Affairs Minister Dr S Jaishankar met Tanzanian President Samia Suluhu Hassan on October 08 in Delhi. Tanzanian President Samia Suluhu Hassan arrived in Delhi for three-day state visit. This is her first visit to India since the assumption of the office of President. She received a grand welcome with traditional dance and songs at the airport upon her arrival.
Source : ANI
 
Watu hawana habari na Uzi za Mama..
Shida Nini!??
 
Back
Top Bottom