Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Hii ndiyo uhuru CDM wanataka, wanataka kutukana kila mtuWe jamaa kuwa na adabu hata kidogo
Hii ndiyo uhuru CDM wanataka, wanataka kutukana kila mtuWe jamaa kuwa na adabu hata kidogo
AiseeWalivyopendeza utafikiri girlfriend kaegemea gari la boyfriend wake
Huyo ni BAVICHA ?Acha matusi...hayauzwi mkuu....
Hivi mtu akikuambia mama yako Ni kahaba utachukulia poa?!!
Mh.Rais ni mama ,bibi na Amiri Jeshi.....
Ninyi BAVICHA mmedondoka mitini ?!!!
#KaziIendelee
#SiempreSSH
Wajinga hawa Mkuu, tutawapa wanachokitafutaNionyeshe katiba au kifungu cha sheria kinachoruhusu hayo,maana mkiminywa mnakimbilia kweny balozi za wazungu,beside matuc mnayotukana hayajawahi kupunguza ugum wa maisha au hata kukupunguzia stress ulizo nazo.
Tusimsingizie ,hii plan ni ya wakati jamaa bado ni nyamparaBila ujuaji wa mpita njia hiki kiwanda plan ilikuwa ni kuwekwa tanzania
Kwako wewe Germany ni kila kitu, poor youHayo magari yanayounganishwa vipande vyake Rwanda, tutayanunua baada ya vipande hivyo kupitia hapa Tanzania na kusafirishwa hadi Rwanda, kuviunganisha, na kuyarudisha hapa tuyanunue!, kwa bei poa kuliko ile ya kusafirisha gari moja kwa moja toka Ujerumani!
Nenda nchi za magharibi na marekani, tulikoitoa na ilikoazia hii Democracy ya vyama vingi, hii ya matusu nayo utaikuta hukohuko.Aina hii ya demokrasia ndiyo naisikia leo. Labda mimi ni mbumbumbu wa aina hii mpya ya demokrasia
enheeee...ilikuaje?Bila ujuaji wa mpita njia hiki kiwanda plan ilikuwa ni kuwekwa tanzania
Huyo jamaa huwa anatoa zawadi ya ng'ombe, wale wenye pembe ndefu, Ankole...Rais SSH apewe gari moja kama zawadi.
Kwa hiyo huko ndiyo yardstick yako ya ustaarabu?Nenda nchi za magharibi na marekani, tulikoitoa na ilikoazia hii Democracy ya vyama vingi, hii ya matusu nayo utaikuta hukohuko.
Huyo jamaa huwa anatoa zawadi ya ng'ombe, wale wenye pembe ndefu, Ankole.
Sijui wale wa Magufuli bado wapo kwenye ile ranch aliyonyakua?
Kmbe kuna Chaga gang siku hiziHapa ndipo Sukuma gang na Chaga Gang wanapokosea...........Siasa matusi na sio hoja
Hii kauli yake imenitoa chozi..Kijana futa hii kabla hatujaingia kazini.
Kwa hiyo huko ndiyo yardstick yako ya ustaarabu?
Tunaelekea pazuri katika kubaguana kisiasa kwa misingi ya ukabilaKmbe kuna Chaga gang siku hizi
Bado ninawaza kuhusu malezi ya huyu mtu kutoka kwa wazazi wake but sipati jibuThat is the lowest you can fall. Pathetic.