roho yangu naiweka rehani kwako ewe slaa, uniamuru nifanye lolote na unitume kokote kwa ajili ya Taifa langu la Tanzania, damu yangu igande na kakaa la ulimi wangu ligandamane nisipoamini kuwa ukombozi wza kweli ni sasa.
Jamani nisaidieni, hivi Kawe si iko maeneo ya Pwani? au ni kanda ya ziwa? maana MS alisema pwani Dr wa ukweli hakubaliki, sasa hizi picha duh! Ila najua MS atasema zime-b edited.))
New mabadiliko.., Go go go Dr Slaa
Duh!!! kwa kweli kuna mwamko mkubwa..
Jamani geograph ya Dar nimeisahau, Kawe iko upande upi? Msinicheke, I left Dar about 18 years ago,and even though i visited Tanzania so ma
ny times but i dont know WHERE IS WHERE?
Dr. Slaa bado kampeni zake hazina mchanganyiko wa watu tofauti tofauti (Diversity). Inaonekana Chadema, ni chama cha watu wachache ambao wana agenda tofauti kabisa na kampeni zao.
jamani nisaidieni, hivi kawe si iko maeneo ya pwani? Au ni kanda ya ziwa? Maana ms alisema pwani dr wa ukweli hakubaliki, sasa hizi picha duh! Ila najua ms atasema zime-b edited.))
new mabadiliko.., go go go dr slaa
mimi ndio mwana ccm wa kufa mtu, ila kura yangu nampa
dr. Rev. Peter slaa mkombozi wa tanzania
wana ccm wengine wote
msitupe kura zenu ******,
mkimpa kikwete kura ni kumpa
rostam aziz
lowassa
kikwte na familia yake
makamba na familia yake nchi
mpeni dr. Slaa kura ili watoto wetu wapate elimu wanayao stahili. Kura kwa dr. Slaa wana ccm wote
dr. Slaaa hoyeeeeeeeeeeeeeee
hoyeeeeeeeeeeeeeeeee