mchillo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 500
- 224
CCM wamemaliza kila silaha kuanzia ya kujaribu kuwafungia chumbani kwa Dr. Slaa, ukabila, udini, tishio la amani na sasa wanapayukapayuka kama vile wanaamkakwenye usingizi wa dawa iitwayo "Ketalar". Wametujeruhi, wametuua kwa kutumia genge lao la wahuni Green Guards na sasa wamembambikia kesi mpiganaji wetu Shibuda.
Kisasi chetu watakiona Jumapili Oktoba 31 ambapo ule usemi wa kilichoingia kwa kishindo huondoka kwa kishindo utadhihirika.
Labda wafanye kama kule jirani kwa Kibaka ambako msanii wetu huyu alipata PhD kiulaini kwa kuwapatanisha. Nadhani safari hii itakuwa zamu ya mwingine kujiokotea PhD ya kupatanisha.
Haya yatakuwa matokeo ya Chama kuongozwa na watu wasio na vision ambapo walishindwa kusoma alama za nyakati na kushindwa kukinusuru chama kwa kumsimamisha mgombea competent. Kosa moja goli nne. Mi bado naamini CCM inao baadhi ya watu waadilifu (Lakini wanaopigwa vita na sijui kwa nini wameendelea kung'ang'ania huko) ambao wangesimamishwa wangeweza kutoa changamoto kwa upinzani lakini si huyu mtalii na msanii Kikwete.
Dr. Ongeza spidi tunakaribia mwisho CHADEMA
Kisasi chetu watakiona Jumapili Oktoba 31 ambapo ule usemi wa kilichoingia kwa kishindo huondoka kwa kishindo utadhihirika.
Labda wafanye kama kule jirani kwa Kibaka ambako msanii wetu huyu alipata PhD kiulaini kwa kuwapatanisha. Nadhani safari hii itakuwa zamu ya mwingine kujiokotea PhD ya kupatanisha.
Haya yatakuwa matokeo ya Chama kuongozwa na watu wasio na vision ambapo walishindwa kusoma alama za nyakati na kushindwa kukinusuru chama kwa kumsimamisha mgombea competent. Kosa moja goli nne. Mi bado naamini CCM inao baadhi ya watu waadilifu (Lakini wanaopigwa vita na sijui kwa nini wameendelea kung'ang'ania huko) ambao wangesimamishwa wangeweza kutoa changamoto kwa upinzani lakini si huyu mtalii na msanii Kikwete.
Dr. Ongeza spidi tunakaribia mwisho CHADEMA