Smartboy
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 1,111
- 129
Hapa sasa kuna contradiction wakuu. Tiba inahusiana na imani au ndio mnatafuta lawama? Hivi zile dawa za kichocho, malaria na kifafa ni imani au scientific research? Sasa huyo babu wa loliondo si kama sheikh yahaya tu anaenda kutibu wagonjwa wake wa nguvu za giza!!!! Mweh ndugu zanguni nyie mna matatizo hamnaga msimamo akisema sheikh yahaya amepata dawa mtasema nguvu za giza ila dawa ya huyu isiyo na kichwa wala miguu ni imani!!! Sawa sawa serikali kuzuia this auspicious practices of witchcraft.
Mwislam utamjua tu, yaani hizi ndo zenu