Hekari 125 alizozitoa Rais Samia EAC zina maana kubwa kwa Tanzania

Jun 4, 2022
68
184
20231123_162140.jpg


Mwaka huu 2023 Mwezi Machi 05, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alikabidhi hati ya kiwanja chenye ukubwa wa hekari 125 kilichopo eneo la Kisongo Arusha kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwajili ya ujenzi wa Kituo kikubwa cha Diplomasia Afrika.

Hii inaishara kwamba Tanzania inakuwa kitovu cha diplomasia Afrika kwani nchi mbalimbali hasa za Jumuiya ya Afrika Mashariki zitakuwa zikifanya mikutano yao hapo, mafunzo kwa wanadiplomasia mbalimbali na pia kukalibisha wawekezaji mbalimbali nchini kwasababu ya utulivu wa kisiasa.

Tanzania inakuwa mwenyeji wa kikao cha 23 cha Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo kinafanyika Jijini Arusha kwanzia tarehe leo 23 hadi 24 Novemba 2023.
 
View attachment 2822547
Mwaka huu 2023 Mwezi Machi 05, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alikabidhi hati ya kiwanja chenye ukubwa wa hekari 125 kilichopo eneo la Kisongo Arusha kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwajili ya ujenzi wa Kituo kikubwa cha Diplomasia Afrika.

Hii inaishara kwamba Tanzania inakuwa kitovu cha diplomasia Afrika kwani nchi mbalimbali hasa za Jumuiya ya Afrika Mashariki zitakuwa zikifanya mikutano yao hapo, mafunzo kwa wanadiplomasia mbalimbali na pia kukalibisha wawekezaji mbalimbali nchini kwasababu ya utulivu wa kisiasa.

Tanzania inakuwa mwenyeji wa kikao cha 23 cha Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo kinafanyika Jijini Arusha kwanzia tarehe leo 23 hadi 24 Novemba 2023.
Was that all?
 
View attachment 2822547
Mwaka huu 2023 Mwezi Machi 05, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alikabidhi hati ya kiwanja chenye ukubwa wa hekari 125 kilichopo eneo la Kisongo Arusha kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwajili ya ujenzi wa Kituo kikubwa cha Diplomasia Afrika.

Hii inaishara kwamba Tanzania inakuwa kitovu cha diplomasia Afrika kwani nchi mbalimbali hasa za Jumuiya ya Afrika Mashariki zitakuwa zikifanya mikutano yao hapo, mafunzo kwa wanadiplomasia mbalimbali na pia kukalibisha wawekezaji mbalimbali nchini kwasababu ya utulivu wa kisiasa.

Tanzania inakuwa mwenyeji wa kikao cha 23 cha Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo kinafanyika Jijini Arusha kwanzia tarehe leo 23 hadi 24 Novemba 2023.
Safi kabisa unajua sisi watanzania tumelala mno, yaani hatujaweza kuitumia fursa ya ARUSHA kuendelea! Tena kuna jibwana flani lilitaka kuuwa Arusha kabsaa lakini Mungu akaingilia kati. Kwa hili la Arusha nasema safi mama Samia!
 
View attachment 2822547
Mwaka huu 2023 Mwezi Machi 05, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alikabidhi hati ya kiwanja chenye ukubwa wa hekari 125 kilichopo eneo la Kisongo Arusha kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwajili ya ujenzi wa Kituo kikubwa cha Diplomasia Afrika.

Hii inaishara kwamba Tanzania inakuwa kitovu cha diplomasia Afrika kwani nchi mbalimbali hasa za Jumuiya ya Afrika Mashariki zitakuwa zikifanya mikutano yao hapo, mafunzo kwa wanadiplomasia mbalimbali na pia kukalibisha wawekezaji mbalimbali nchini kwasababu ya utulivu wa kisiasa.

Tanzania inakuwa mwenyeji wa kikao cha 23 cha Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo kinafanyika Jijini Arusha kwanzia tarehe leo 23 hadi 24 Novemba 2023.
Hicho kiwanja wanacho muda mrefu walipewa na jJk ...yeye akiwa kazimkazi kiko jirani na ICTR,aghakan medical college
 
View attachment 2822547

Mwaka huu 2023 Mwezi Machi 05, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alikabidhi hati ya kiwanja chenye ukubwa wa hekari 125 kilichopo eneo la Kisongo Arusha kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwajili ya ujenzi wa Kituo kikubwa cha Diplomasia Afrika.

Hii inaishara kwamba Tanzania inakuwa kitovu cha diplomasia Afrika kwani nchi mbalimbali hasa za Jumuiya ya Afrika Mashariki zitakuwa zikifanya mikutano yao hapo, mafunzo kwa wanadiplomasia mbalimbali na pia kukalibisha wawekezaji mbalimbali nchini kwasababu ya utulivu wa kisiasa.

Tanzania inakuwa mwenyeji wa kikao cha 23 cha Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo kinafanyika Jijini Arusha kwanzia tarehe leo 23 hadi 24 Novemba 2023.
Diplomasia ya ndani inamshinda
 
Back
Top Bottom