PICHA: Mkutano wa CHADEMA Jijini Arusha, Sept 25, 2012

PICHA: Mkutano wa CHADEMA Jijini Arusha, Sept 25, 2012

Huu ni wakati mzuri wa kujipanga katika uchaguzi wa madiwani,bado tuna kazi kubwa mbele ya kuwaandaa wananchi katika mabadiliko ya kweli mwaka 2015.
Mkutano unaonesha dhahiri kuwa watanzania wanajua nini wanataka bila kushawishiwa kwa pesa na kusombwa na magari kwenda kwenye mikutano.
 
Hivi karibuni kumekuwa na vunjavunja/bomoabomoa ya misingi/matawi ya CHADEMA sehemu mbalimbali (e.g Sinza, Manzese, UbungoTerminal, etc).CHADEMA tumekuwa tukifanya upelelezi na vilevile kuchukua RB polisi ili kudeal na hawa jamaa zetu. Lakini tunaona hawashughulikiwi kipolisi na wanazidi kuharibu misingi/matawi yetu ambayo yanaruhusiwa kuwepo kisheria. Sasa uvumilivu umefika mwisho tunachukua sheria mkononi. Maana jamaa zetu hawa ustaarabu umewashinda. Wameanza kunya, sisi tutakunya mara tatu yao hata kama watatuambia tumeharisha poa.
 

"Anyone who has never made a mistake has never tried anything new."
VIVA CHADEMA


"Any intelligent fool can make things bigger, more complex, and more violent. It takes a touch of genius and a lot of courage to move in the opposite direction."
 
hao watu ni wachache ukilinganisha na mikutano ya nyuma, watu ndio wanaanza kuachana na cdm hivyo, wafuasi wengi wa cdm ni wakristo waliomchukia kikwete bila sababu ya msingi akimaliza kipindi chake watarudi nyumbani hawa si wanasiasa, ni makantonta.

This is very low brother, there is nothing wrong about being a christian, muslim, or anything!! Kwa mtazamo wako wa kidini nilitarajia useme waislamu wengi walihudhuria mkutano wa CUF ktk uwanja huo huo. Haihitaji PHD kuona kuwa camera iliyotumika haineshi 360 degrees. Na ni kutoka angles tofauti. Sijui unatumia kigezo gani kusema "wanaanza kuachana na na CDM".

Ukiacha udini, utaweza kutoa povu za aina nyingine otherwise inakuwa kama unaona wivu kwa CDM baada ya mumeo CCM kukutumia na kukuacha. Huoni CCM anavokimbizana na CDM?? Wewe tayari uko chumbani, humsumbui!!
 
Amini usiamini ccm walishindwa kuleta vijana wa kufanya fujo na kuharibu mkutano huu kama walivyofanya kule Singida. Chezea ingine siyo Arusha, lazima wangechezea kichapo.!
 
Guyz are very siriouz pipoooooooooooooooo...kafu na sisiem malizien pawaaaaaaaaaa!
 
sasa mkuu hao watu kumi na moja ni JUMLA YA VIONGOZI NA WAFUASI WAO au ni WAFUASI PEKEE au ni WAFUNGA SPEEKER na WAPAMBA UWANJA??
mechi jamani ...siku zile kulikuwa na big match nyingi
 
That is great. Nafikiri hili jukwaa liliwekwa kwa makusudi ili kuwaadaa watu kuwa they are doing simple and cheap, to prepare for the powerful thing to defeat CCM.
 
Bado mwenyekiti wa ccm anaitisha kamati kuu wanacheza kiduku dodoma kweli kazi ipo,pigeni kazi vijana!!!!!!!!!!!!!!!
 
-katika mkutano huo Lema amewaasa wamachinga kutokugombana wao kwa wao baada ya wengine kupatiwa eneo la kufanyia biashara huku wenzao wakikosa na waliopata hawaonyeshi kuwa hangaikia wenzao.
-amewaomba watanzania wote wapenda haki wa ombe siyo lema kurudishwa ubunge bali haki itendeke.
-Kambeni za uchuguzi mdogo zitanza tarehe 03.10.2012
Wadau niulize swali kidogo tuu jee daftari la wapiga kura litaboreshwa??? Kwa sababu wale vijana waliokuwa na umri wa miaka 16/17 kipindi kile cha uchaguzi wa 2010 sasa tayari wana miaka kumi na nane kidemokrasia na wao wanahitaji kupiga kura!!!! Hilo limekaa vipi au magamba wana ogopa vijana watawakataaa????

 
Hivi kuna mantiki gani ya kuvifanya viwanja vya michezo vya mikoa karibu yote kuwa mali ya CCM?
Kwenye hivyo viwanja tuna hisa zetu humo subiri wakati wake tutagawana, vyoote viwanja ni mali zetu!!!!

 
Hakika M4C inawanyima usingizi na wanalijua hilo!!!
 
This is very low brother, there is nothing wrong about being a christian, muslim, or anything!! Kwa mtazamo wako wa kidini nilitarajia useme waislamu wengi walihudhuria mkutano wa CUF ktk uwanja huo huo. Haihitaji PHD kuona kuwa camera iliyotumika haineshi 360 degrees. Na ni kutoka angles tofauti. Sijui unatumia kigezo gani kusema "wanaanza kuachana na na CDM".

Ukiacha udini, utaweza kutoa povu za aina nyingine otherwise inakuwa kama unaona wivu kwa CDM baada ya mumeo CCM kukutumia na kukuacha. Huoni CCM anavokimbizana na CDM?? Wewe tayari uko chumbani, humsumbui!!

Really very low
 
FJM

Mwigulu LM Nchemba bado mchanga sana kisiasa ndio maana anafanya mambo ya kitoto. Hata mtu asiyesoma sana lakini kwa umri kama wake anakuwa na busara lakini huyu anayejiita first class economist kila siku ni kuongea pumba tu pamoja na kufanya mambo kama mtu asiyegusa darasa kabisa!
Mkuu mimi nina mashaka huyu Mwigulu anavuta bangi kama sio mlevi wa viroba saa za kazi, mtu mzima hawezi kuwa hivyo!!!!

 
Hivi kuna mantiki gani ya kuvifanya viwanja vya michezo vya mikoa karibu yote kuwa mali ya CCM?
walisahau ilitakiwa baada ya mfumo wa vyama vingi na malizote sirudi serekalini
 
Mtu mzima Janjaweed,
Umeshindwa kunielewa probably because of preconceived ideas ulizo nazo.
Ujumbe ninaoutoa ni kwamba where are the learned fellows?
Kuna jamaa wangu mmoja mwanasheria kuna siku aliniambia kinachohitajika Tanzania ni maandamano ya kuitoa serikali madarakani kwa nguvu ya umma, nikamuuliza uko tayari kuandamana? Akaniambia no, kuna watu maalum kwa ajili hiyo, akimaanisha watu kama hawa waliojaa hapa - the deceived vulnerable jobless youths. Nilicheka huku nikimwambia jamaa tuendelee kuongea mambo mengine tu...
Lerned fellows never show up!!! They follow events on TV, facebook or JF...
Kwa hiyo mkuu unatumia hao watu kama human shield unawatanguliza wewe nyuma ????? Lakini kweli you got a wrong conception, in A-Town wakeleketwa wote wa M4C majority wapo hapo, regardless of their education backgrounds!!!!!

 
Back
Top Bottom