PICHA: Mkutano wa CHADEMA Jijini Arusha, Sept 25, 2012

PICHA: Mkutano wa CHADEMA Jijini Arusha, Sept 25, 2012

kama ww sio cdm ukiangalia hapa lazima roho iume, labda km una moyo mgumu!!!!
 
Hakika sisiem kwa hapa R-chuga hawana chao yaani huo umati wa watu nilijikuta natokwa na machozi ya furaha pale. Kamanda lema aliposema hata akishindwa rufaa yake na uchaguzi ukarudiwa wao wakamsimamisha binadamu then sisi tukasimamisha pakiti la biscuits jimbo bado tutachukuwa.
 
we gonna chase those crazy baldheadz outta ov town! R.I.P Nyundo+Jembe na wenu wapambe
 
what made them jobless while other are enjoying unearned opportunities to prosper simply because they are related to corrupt molesting dude??

we nawe unadharau jobless bila kujiuliza why are those people jobless

manina wallahi kweli aliyeshiba hamjali mwenye njaa

kesho unaenda kuomba kura kwa hao-hao uliowatukana??? time is coming and we will take head on people like you and your comments will work against you

Mkuu Janjaweed
Like others(wanaojibishana na pumba za kina zomba, tume ya katiba, anael e.t.c) nimeomba tuache kujibishana na hawa watu. Waacheni wamwage pumba zao tuuuuu. Hawalipwi kwa hilo, ila pale tu wanapopata content zilizojaa busara za GT. Mnavyo wajibu mna wapa credit sana pale lumumba, inaonekana nao wame post some kind of thought. Kumbukeni ndivyo lumumba inavyo walipa. Otherwise tutumie tu post zao kuweka kumbukumbu za hesabu za wenye njaa(hawa sio wajinga, wanajua wanalofanya), make them pay for their arrogance expensively!!!! Wapost hata posts mia bila response!!!! May be the will realise how stupid (toilet paper) they are.
 
Hii michango miwili ni kutoka kwa one and the same person ZeMarcopolo! Eti wanaohudhuria mikutano ya Chadema ni wale deceived and jobless lakini wanyonge na masikini huichagua CCM kwa sababu wanaiamini! Kwa kweli ili ukitetee hiki chama cha mafisadi lazima uwe na akili sana kama ZeMarcopolo! Bila shaka kwa hizi akili angekuwa mtaji mzuri sana kwa mgombea wa Uraisi Marekani, Mitt Romney!

He he heee! Mag3 the great!

Zemarcopolo kakamatwa pants down. Huyu bila shaka ni think tank wa pale lumumba.
 
Kuna watu waliokuwa deceived na watu wanaotambua reality. Wanaotambua reality ndio wanaoamua nani awe madarakani...
Okay! ZeMarcopolo naomba jibu kwa kaswali kangu kadogo...hiyo reality unayoiongelea ni ipi?
 
Last edited by a moderator:
rtz na wanao hmjawekewa salio leo na nape mseme ovyo hapa maana mtaisindikiza chadema kwa maneno ya kejeli chadema inaenda ikulu
 
Kama CCM wanaweza wajibu mapigo ya picha hizi. Sijawahi ona tangu niingie JF umati wa jinsi hii. Lazima CDM wana kitu sio bure! Hakuna T-shirt wala kanga wala ma-truck
 
Okay ZeMarcopolo, sasa maisha ya mtanzania yanaboreshwa kwa njia gani?

Yaani mpaka sasa hujui unachotakiwa kufanya ili kuboresha maisha? Tatizo mnapoteza muda mwingi kwenye magenge ya kuhamasisha nchi isitawalike mpaka mnakosa muda wa kutafuta majibu ya maswali ya msingi.
Kalagha bao...
 
attachment.php

Hawa Hawapewi KOFIA; KHANGA na PESA...
Most of these are deceived jobless...
Deceived by a corupt regime
Mtu mzima Janjaweed, Umeshindwa kunielewa probably because of preconceived ideas ulizo nazo. Ujumbe ninaoutoa ni kwamba where are the learned fellows? ...kuna watu maalum kwa ajili hiyo - the deceived vulnerable jobless youths.
what made them jobless while other are enjoying unearned opportunities to prosper simply because they are related to corrupt molesting dude?? we nawe unadharau jobless bila kujiuliza why are those people jobless...manina wallahi kweli aliyeshiba hamjali mwenye njaa...kesho unaenda kuomba kura kwa hao-hao uliowatukana??? time is coming and we will take head on people like you and your comments will work against you
CCM ni chama kinachotetea haki za wanyonge. Wapiga kura wengi ni wanyonge masikini, ndio maana wanakichagua chama wanachokimini CCM
read again my post "Kosa kubwa mnalofanya CCM kwa sasa ni hii dharau kwa maskini... THEY ARE THE REAL VOTERS!!...calling names, mocking them expecting that they are fools for life wont help...traitors never hide....
Kuna watu waliokuwa deceived na watu wanaotambua reality. Wanaotambua reality ndio wanaoamua nani awe madarakani...
Okay! ZeMarcopolo naomba jibu kwa kaswali kangu kadogo...hiyo reality unayoiongelea ni ipi?
Kuwa maisha ya mtanzania hayawezi kuboreshwa kwa porojo za kwenye majukwaa ya siasa.
Okay ZeMarcopolo, sasa maisha ya mtanzania yanaboreshwa kwa njia gani?
Yaani mpaka sasa hujui unachotakiwa kufanya ili kuboresha maisha? Tatizo mnapoteza muda mwingi kwenye magenge ya kuhamasisha nchi isitawalike mpaka mnakosa muda wa kutafuta majibu ya maswali ya msingi. Kalagha bao...
Huyo ndiye ZeMarcopolo, moja wa watu wanaoishi kwenye bonde chafu lenye uvundo lilikopiga kambi genge la wezi na mafisadi kwa jina la CCM...je kuna haja ya kujadiliana na haya malimbukeni? la hasha! Nawaachia wasomaji msome majibu ya hiki kifisadi rejea, mjiamulie wenyewe kama mtaweza kuelewa anachotetea humu ni kitu gani!
 
Last edited by a moderator:
hao watu ni wachache ukilinganisha na mikutano ya nyuma, watu ndio wanaanza kuachana na cdm hivyo, wafuasi wengi wa cdm ni wakristo waliomchukia kikwete bila sababu ya msingi akimaliza kipindi chake wamtarudi nyumbani hawa si wanasiasa, ni makantonta.

hapa ndipo utaamini kweli ndoa ni kiapo cha kushirikia ktk raha na shida
 
-katika mkutano huo Lema amewaasa wamachinga kutokugombana wao kwa wao baada ya wengine kupatiwa eneo la kufanyia biashara huku wenzao wakikosa na waliopata hawaonyeshi kuwa hangaikia wenzao.
-amewaomba watanzania wote wapenda haki wa ombe siyo lema kurudishwa ubunge bali haki itendeke.
-Kambeni za uchuguzi mdogo zitanza tarehe 03.10.2012

kazi nzuri kamanda jembe!!
 
Daima mbele CDM! HAO CCM WANAODAI BADO WAKO HAI WANAJIDANGANYA MNO. MIKUTANO YA CHADEMA NI MIKUTANO YA KUIZIKA CCM ILIYOKUFA TANGU AONDOKE MWALIMU!
 










Huyo ndiye ZeMarcopolo, moja wa watu wanaoishi kwenye bonde chafu lenye uvundo lilikopiga kambi genge la wezi na mafisadi kwa jina la CCM...je kuna haja ya kujadiliana na haya malimbukeni? la hasha! Nawaachia wasomaji msome majibu ya hiki kifisadi rejea, mjiamulie wenyewe kama mtaweza kuelewa anachotetea humu ni kitu gani!
You are right, tatizo hajakamilisha lengo, hajakamilika na hajui ni kiasi gani anajiweka kuwa kama comical Ali and the likes

A few moment before Kaddafi's tople vijana wake walitukana sana watu hasa masikini na kuwadharau, KIKO WAPI??

Huyu dogo is a confused personality, he started very well, akaingia kwenye fadhila fulani sasa zinamdhuru, his respect is freefalling

Aliwatukana sana viongozi wa madaktari, akasahau kabisa anakunya alipolala
 
Mume wake CUF anajua A Town ngoma nzito na jiji ndio limeshawatosa kama ilivyo Morogoro, Iringa, Mbeya, Mwanza na Kigoma...watabaki kuwatumia akina kamuhanda alias "vyombo vya dola" ili kufanya mauaji yao ya kinyama.

Ha ha ha, CUF bwana, eti ndio walisema wanakuja kuvunja ngome ya chadema Arusha, naona wamerudi kimya kimya kwa mume wao wakamwambia, 'labda uende wewe sisi tumeshindwa'.
 
Back
Top Bottom