KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,276
Mkutano wa chama cha demokrasia na maendeleo katika picha, mkutano huo umefanyika baada ya ukuzuiwa kwa takribani siku nne kwasababu mbalimbali ikiwemo kunyimwa uwanja wa NMC na Leo umefanyika kwenye stand ndogo ya Nduruma karibu kabisa na hospitali ya Levolosi.
. Ikumbukwe chama cha CUF juzi jumapili kilishindwa kufanya mkutano wake kwenye uwanja wa soko la Mbauda baada ya kukomea watu kumi na moja tu.
View attachment 66068View attachment 66077
Kamanda Lema akiwa na Kamanda Joshua Nasari..
View attachment 66078Kamanda Nasari akiongea na wakazi wa mjini Arusha...
View attachment 66076Allly Bananga huyu ni kamanda alietokea kwa magamba anakuja kwa fujo sana kifupi nijembe...
Ubarikiwe sana crashwiser kwa covarage zako zenye kushamirishwa na picha kwa ukanda huo umetisha yaan tungekuwa na crashwiser kona zote ccm wangekaa chini coz ni walaini kama maini