PICHA: Mkutano wa CHADEMA Jijini Arusha, Sept 25, 2012

PICHA: Mkutano wa CHADEMA Jijini Arusha, Sept 25, 2012

Ha ha ha, CUF bwana, eti ndio walisema wanakuja kuvunja ngome ya chadema Arusha, naona wamerudi kimya kimya kwa mume wao wakamwambia, 'labda uende wewe sisi tumeshindwa'.

Hawana pesa za kukodi mafuso ya kubebea wafuasi feki kama bwana wao.
 
-katika mkutano huo Lema amewaasa wamachinga kutokugombana wao kwa wao baada ya wengine kupatiwa eneo la kufanyia biashara huku wenzao wakikosa na waliopata hawaonyeshi kuwa hangaikia wenzao.
-amewaomba watanzania wote wapenda haki wa ombe siyo lema kurudishwa ubunge bali haki itendeke.
-Kambeni za uchuguzi mdogo zitanza tarehe 03.10.2012

Hapo mwisho sjakusoma mkuu!!yani ina maana yaani kuwa ni kwamba imekuwa hivyo tena??unajua nakuaminigi sana,kwa hiyo Lema ndiyo kwishney??kampeni za nini sasa? Ndio tayari zimeshavuja au unapiga tu ramli? We usiombe hiyo kitu kabisa mkuu.
 
Katika mkutano huo kiongozi wa CCM pamoja na wanachama wengine 6 walirudisha kadi za CCM...
 
Hapo mwisho sjakusoma mkuu!!yani ina maana yaani kuwa ni kwamba imekuwa hivyo tena??unajua nakuaminigi sana,kwa hiyo Lema ndiyo kwishney??kampeni za nini sasa? Ndio tayari zimeshavuja au unapiga tu ramli? We usiombe hiyo kitu kabisa mkuu.
Samahani mkuu ni uchaguzi mdogo wa kata ya daraja mbili baada ya alie kuwa diwani wa kata hiyo kupitia CCM kufariki dunia pia kuna kata nyingine Arumeru magharibi (Bangata)
 
Kwa sasa nimetokea kwenye mkutano wa chadema katika operation M4C hapa kilombero huku kamanda godbless lema akiongoza safu ya ushambulia.
Umati ule ulinifanya niwaze maswali mengi,alikua anawatetea wamachinga baada ya kuingizwa chaka na halmashauri.
Tukio hili likapeleka fikra zangu nyuma kukumbuka jinsi juzi kati Julius malema alivyokua akiwatetea wafanyakazi wa migodini huko S.A,
kiukweli harakati za malema na lema look similar.
Nilichokia leo pale mkutanoni na kwenye matembezi kwenda kufungua tawi kule ngarenaro ni kufuru na mtihani mkubwa kwa sisiem.
 
Nimependa sana kauli ya Lema kuhusu kesi ya ubunge nadhani kama wewe ni mtu unayependa haki na si mtu wa kuishi kwa ujanjaujanja basi lazima upende kauli za Lema! Lema ataleta mabadiliko makubwa sana nchi hii kwa msimamo wake huu usio yumba!

Ombeni si Lema arudishiwe ubunge bali ombeni haki itendeke...
 
Kiganyi

Mkuu asante kwa msaada wako leo Net imenisumbua sana huwezi amini tangu saa na nusu najaribu ku-upload zinagoma sijui kulikuwa na mkono wa magamba...lol
 
Last edited by a moderator:
Kumbe arusha ina watu wachache namna hiyo,kweli haina sifa ya kua jiji, kuna jamaa humu JF wanasema arusha wote ni CDM sasa kama ni hivyo basi wanaarusha wote walikuwepo hapo.
 
Back
Top Bottom