sasa hawa jamaa CCM si ndio watachukia kabisa, utasikia uwanja huu noa sas tunawaleta wakina mama
Siasa za Arusha twazijua wana-Arusha, siyo zile za kufunga ndoa then unatoka nje na kusema bwanangu mbaya while usiku waenda lala naye na wana wamzalia. CUF bhana! Nway nilikuwepo na ule umati ni ishara ya weledi wa wana-CDM Arusha. CDM 4EVER.
Siku zote hawa CDM wanachowaza ni mikutano na maandamano tu. Viongozi wa CDM wanapenda muda wote kuonekana majukwaani. Hawawapi nafasi ya wanachi na wao kuelezea matatizo yao.Hakika Arusha ni CHADEMA na tunapaswa kutafuta uwanja wa kufanyia mikutano maana sioni uwanja hapa mjini unao weza kukizi mahitaji ya chadema....
Siku zote hawa CDM wanachowaza ni mikutano na maandamano tu. Viongozi wa CDM wanapenda muda wote kuonekana majukwaani. Hawawapi nafasi ya wanachi na wao kuelezea matatizo yao.
Nafikiri ni muda muafaka kwao kuelewa maana ya demokrasia ya kweli. Wanatakiwa waelewe pia maana ya kuwa na representatives. Uongozi ni kusikilizana pande zote mbili, siyo wewe tu kusikilizwa. Ni muda muafaka kwa CCM kutumia hii opportunity kuwaelemisha wananchi wa Arusha ili waondokane na ulimbukeni waliopandikiziwa na viongozi wachache wa CDM wenye uchu wa madaraka na wasiopenda maendeleo.
Siku zote hawa CDM wanachowaza ni mikutano na maandamano tu. Viongozi wa CDM wanapenda muda wote kuonekana majukwaani.
Mkuu, usishangae hapo kwenye red kwani viongozi wengi wa CDM wanaasili ya muziki au kuimba usishangae kupenda majukwaa,Mbowe-DJ,Dr Slaa kwaya na mahubiri kanisani,Lema-kiongozi wa kwaya shule ya msingi,Sugu ndio usiseme mpaka salamu anatungia verse.
Dada Mingoi umemaliza? au utaenda kuosha na vyombo?Mkuu, usishangae hapo kwenye red kwani viongozi wengi wa CDM wanaasili ya muziki au kuimba usishangae kupenda majukwaa,Mbowe-DJ,Dr Slaa kwaya na mahubiri kanisani,Lema-kiongozi wa kwaya shule ya msingi,Sugu ndio usiseme mpaka salamu anatungia verse.
Mkuu, usishangae hapo kwenye red kwani viongozi wengi wa CDM wanaasili ya muziki au kuimba usishangae kupenda majukwaa,Mbowe-DJ,Dr Slaa kwaya na mahubiri kanisani,Lema-kiongozi wa kwaya shule ya msingi,Sugu ndio usiseme mpaka salamu anatungia verse.
Mkuu....bora umekuja ku clarify zaidi.Mkuu, usishangae hapo kwenye red kwani viongozi wengi wa CDM wanaasili ya muziki au kuimba usishangae kupenda majukwaa,Mbowe-DJ,Dr Slaa kwaya na mahubiri kanisani,Lema-kiongozi wa kwaya shule ya msingi,Sugu ndio usiseme mpaka salamu anatungia verse.
Ciello...Kumbe na wewe ulikuwa warsaw??? Umenikumbusha maisha niliyoyaishi ya ugali na mawese hapo Tabora boys. Noooooo....haiwezekani, inamaana na Nasar alikuwa kipaji maalum??hahahahahhahahahhahahah Rejao na mingoi! ila mmemsahau joshua nassari ni mwimbaji mzuri, alikuwa anatuburudisha na masongi ya ukweli enzi hizo twasoma tabora skuli, yeye alikuwa tabora boys mie tabora girls, so siku za welcome first year,form five na graduation hata disko mbuzi zote za skuli alikuwa anakuja tabora girls aka warsaw kutuburudisha.ndo vipaji huoni vinavyosaidia wananchi kuelewa mziki wa chadema uwakoseshao usingizi?????
sasa mkuu hao watu kumi na moja ni JUMLA YA VIONGOZI NA WAFUASI WAO au ni WAFUASI PEKEE au ni WAFUNGA SPEEKER na WAPAMBA UWANJA??