Most of these are deceived jobless...
Most of these are deceived jobless...
Kuna ajabu gani Lema kukusanya watu Arusha? Hapo ni nyumbani kwake ningeona ajabu kama kakusanya umati huo Chakechake-Pemba; wakati tumieni akili kabla ya kuandika majisifu
Chama
Gongo la mboto DSM
what made them jobless while other are enjoying unearned opportunities to prosper simply because they are related to corrupt molesting dude??
we nawe unadharau jobless bila kujiuliza why are those people jobless
manina wallahi kweli aliyeshiba hamjali mwenye njaa
kesho unaenda kuomba kura kwa hao-hao uliowatukana??? time is coming and we will take head on people like you and your comments will work against you
Most of these are deceived jobless...
Mtu mzima Janjaweed,
Umeshindwa kunielewa probably because of preconceived ideas ulizo nazo.
Ujumbe ninaoutoa ni kwamba where are the learned fellows?
Kuna jamaa wangu mmoja mwanasheria kuna siku aliniambia kinachohitajika Tanzania ni maandamano ya kuitoa serikali madarakani kwa nguvu ya umma, nikamuuliza uko tayari kuandamana? Akaniambia no, kuna watu maalum kwa ajili hiyo, akimaanisha watu kama hawa waliojaa hapa - the deceived vulnerable jobless youths. Nilicheka huku nikimwambia jamaa tuendelee kuongea mambo mengine tu...
Lerned fellows never show up!!! They follow events on TV, facebook or JF...
Most of these are deceived jobless...
Huyo ndo God Lema huyo!
So what is your point ? they do not have any right to paticipate in political meetings ? kuwa jobless ni kukosa kazi siyo ? kwani kukosa kazi ni dhambi ? I really fail to understand ! I was one of these jobless for almost four years after my undergraduate, I suffered alot, then I decided to employ myself, baada ya self empoyment ndipo nilihangaika tena kujiendeleza na post graduate, hata sasa ni self employed cause I was jobless ( unemployed) under the formal system. UNALO ?
Yes i have preconceived ideas.... and they havent come frfom nowhere
Kosa kubwa mnalofanya CCM kwa sasa ni hii dharau kwa maskini... THEY ARE THE REAL VOTERS!!
Kuna ajabu gani Lema kukusanya watu Arusha? Hapo ni nyumbani kwake ningeona ajabu kama kakusanya umati huo Chakechake-Pemba; wakati tumieni akili kabla ya kuandika majisifu
Chama
Gongo la mboto DSM