Naona best thing ambacho watanzania wanacho ni UsaniiMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiombewa dua na viongozi dini watika wa ufunguzi semina ya Walimu wanaosomesha Quran Tanzania.
View attachment 474598
Naona best thing ambacho watanzania wanacho ni UsaniiMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiombewa dua na viongozi dini watika wa ufunguzi semina ya Walimu wanaosomesha Quran Tanzania.
View attachment 474598
Dua ya kiislam full viatu vya chooniBora wamuombee maskini, maana waovu wameamua kumwandama
Wa ccmMasheikh wa ki islam
Under influence of Patriotism!!Una akili timamu mkuu Allen, au uko under alcohol influency
Dua inaswihi kwa yoyote yule awe na imani na imani kwamba majibu yatatoka basi haina shida hata kidogoHawa Masheikh njkaa zitawaua,toka lini Mwislamu amuombee dua kafiri! Ptuuuuuuuu
Bado wachungaji, tunaomba wamuombee pia mapepo yamtokeMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiombewa dua na viongozi dini watika wa ufunguzi semina ya Walimu wanaosomesha Quran Tanzania.
View attachment 474598
Jifunze kwanza kutofautisha kati ya imani na dini mkuu!imani yake ipo huko? Wengine tunaamini kupitia utatu mtakatifu...Yesu ndiyo njia,kweli na uzima....
kunawatu huamini eti kuna majini mazuri?!? Hahahahaaaa..mmh Ngoja nkae kimya
Hiyo dua mbaya unayomuombea unaweza kukukuta mwenyewe
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiombewa dua na viongozi dini watika wa ufunguzi semina ya Walimu wanaosomesha Quran Tanzania.
View attachment 474598
yaani masheikh hawa wanatia aibu jamaniHawa bila shaka watakuwa Masheikh uchwara.
Wamekosa wa kuwaombea dua!?
kwa style hii ipo sikuu maajabu ndio yatatushangaa wanadamu badala ya mwanadamu kuyashangaa maajabu

ameenMimi pia Sheikh vile vile.
Na namuombea Makonda Mungu amuumbue km anavyo waumbua wanyonge wasio na Hatia.
Amdhalilishe km anavyodhalilisha watu wasiokuwa na Hatia.
Amporomishe Chini km alivyo mporomosha Firaun na Maadui wa haki wengine.
Na ampige maradhi yasio poneka kwa Dhulma anazofanyia watu wasiokuwa na Hatia.
Can i get "Amen" .
Ahsanta.
Hapo ni maigizo hakuna kuombewa wala nini... baba anapenda kamera huyu kama wemasepetu,halafu Kakosea script ukikaa hvo shurti uvue viatu...
Nice commentNaona wanamjaza mapepo ili aendelee kuripuka