Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Hawa jamaa si ndo kila mwaka wananunuliwa pilau na ccm na kupewa ahadi hewa za mahakama ya kadhi na wanawapigia kura????
PESA MBAYA SANA, ZINANUNUA KILA KITU ISIPOKUWA KUMNUNUA MUNGU
 
Mungu awabariki hawa masheikh wetu hawa
Hawana kazi....Mungu anawaona. Kuna watu wa muhimu wa kuwaombea....
Waombee utawala wa sharia inaweza kuwasaidia kidogo
Bora wangefunga na kuombea nchi isipate janga la njaa na ,majanga mengine...Makonda ni janga tayari
 
Hawa jamaa si ndo kila mwaka wananunuliwa pilau na ccm na kupewa ahadi hewa za mahakama ya kadhi na wanawapigia kura????
PESA MBAYA SANA, ZINANUNUA KILA KITU ISIPOKUWA KUMNUNUA MUNGU
Wanachonikera wanafanya mambo kinyume na din kwa kutumia mwavuli wa din.hakuna tofaut na mtu aliyevaa kanzu akaenda kula ngurue nikuudhalilisha uislam.uislam ni din yenye misingi isiyobadilika.walichonya din haikitambui hiyo dua niyaowala isihusishwe na din.
 
kuwakodi mashehe wote hao karibu 20 wauombee dua yeye peke yake. sio bure.
lazima atakuwa anajua dhambi anazozifanya ni kubwa.
 
imani yake ipo huko? Wengine tunaamini kupitia utatu mtakatifu...Yesu ndiyo njia,kweli na uzima....
kunawatu huamini eti kuna majini mazuri?!? Hahahahaaaa..mmh Ngoja nkae kimya
 
mashekh fursa hao ,hata baa ukiwaita watakuombea....

jibu lao watakwambia mungu wa wote na yupo popote
 
Kuvaa viatu wakati unaombewa ni sahihi kwa dini ya kiislamu?? Naomba kufahamishwa..cc. faiza foxy. N.k.
 
Wanachonikera wanafanya mambo kinyume na din kwa kutumia mwavuli wa din.hakuna tofaut na mtu aliyevaa kanzu akaenda kula ngurue nikuudhalilisha uislam.uislam ni din yenye misingi isiyobadilika.walichonya din haikitambui hiyo dua niyaowala isihusishwe na din.
Well said mkuu
 
Asante kwa taarifa lakini hapa sichangii
MlljhhhhhjfgjhhhjlfHDhfggglghhhhjjhhhg
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiombewa dua na viongozi dini watika wa ufunguzi semina ya Walimu wanaosomesha Quran Tanzania.

View attachment 474598

Makonda amejificha nyuma ya madawa ya kulevya!

Udhaifu wake wote sasa, anasingizia madawa ya kulevya.

Sasa hivi kitu kisipoenda sawa, sababu anayotoa ni Vita ya Unga.
 
Back
Top Bottom