Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Mungu aangalie viatu, Mungu anacho angalia nini unamaanisha/nia ya wanamaombi na anaye ombewa.
Usitukane imani za watu kama hujui kaa kimya. Muislamu safi aombe dua mtu kavaa viatu?!! Msituharibie imani kwa posho za kidunia kesho mtajibu mbele za haki. Hata Musa aliambiwa vua viatu vyako hapa ni patakatifu. Unamuombea MTU hana udhu hiyo dua gani??
 
Hivi kuombea.dua ni.sawa walokole wasemavyo wanakuombea kutoa mapepo chafu nk au??
 
Hawa masheikh wao hawauzi ngada? Mbona hata 1 hajaitwa sentro......braza Madereva mbona kakaa kama kuku anayetaka kutaga?
 
Dah nyie ndo mnaoichafua dini... Kuombewa ni kuombewa haijalish amevaa nn au anafanya nn, kwani we hujawahi kuombewa dua hata na mamaako wakt we haupo na pengne mda huo ulikuwa kwenye mambo ya kiibilisi?? Acha ubaguzi eti sio muislam kwan masheikh wanapofanya dua la kuombea Taifa huwa hawajui kuna wengine ni wa dini tofauti?

Quran ~ ''Enyi mlioamini msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa marafiki; wao kwa wao ni marafiki; na miongoni mwenu atakayefanya urafikii nao, basi huyu yu pamoja nao; hakika Mwenyezi Mungu Hawaongozi watu wadhalimu''.
 
Duu...! We nawe hivi dua husomewa walio waislamu tu? Mbona watu husoma dua hata kwa ajili ya mvua nayo ni dini gani?

Muislamu anamuombea mkiristo dua gani?

Quran tukufu inafahamisha ~ :Enyi mlioamini msiwafanye Mayahudi na WakrisTo kuwa marafiki; wao kwa wao ni marafiki; na miongoni mwenu atakayefanya urafki nao, basi huyu yu pamoja nao; hakika Mwenyezi Mungu Hawaongozi watu wadhalimu.
 
Back
Top Bottom