Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Eti anaombewa dua huku kavaa viatu,ahahahahaaaaa hapo hao wanaojiita mashekhe wanawaza bahasha tu wakitoka hapa wakale na familia zao
 
Hawa ndio wanaotudhalilishia Dini yetu.
Na sisi tunaopenda Ukweli nafasi za Usheikh hatupewi hata tupigane na mizinga.

Hebu mtumeni huyo makonda akaombewe Dua na Sheikh mpenda HAKI na Msema Kweli al allama Sheikh Ponda uone km hakutolewa na Bakora za makalio.

Hao SIO MASHEIKH bali ni MASHEHENA. Yaani Mizigo kwenye Dini hii Tukufu.
mtihani kweli huu!!!
yaani ni msib mkubwa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa waliosoma Geography nijibuni maswali haya;
1. Hiyo ni aina gani ya picha?
2. Ilipigwa muda gani?
3. Unadhani ilipigwa sehemu gani?
4. Ni shughuli gani inayoendelea hapo?

Picha hii imenikumbusha topic ya Photography Form IV
 
Haya maigizo,naweza amini sasa anatembeza bahasha,Dua ya kiislamu na masheikh,mtu kakaa na viatu? Bora angesimama tu!!

Vinginevyo atuambie anakiombea cheti chake cha kidato cha nne na sita kitoke sandukuni kilipofichwa na panya!!!

Huyu mtu ataitafuna sana FISIEMU!!
Hapo kwenye kuvaa viatu wakati dua inaendelea nimekusoma zaidi
 
LEO TUNAENDELEA NA ILE SERIES YA KITANZANIA IITWAYO

'The Fifth GOVERNMENT" Episode 9.

Humu tutaona mengi sana.

Baada ya hapo tunaingia Episode 10 iitwayo VIROBA.

RAHA SANA KUANGALIA HII SERIES.
 
wanafiki mno..wana mdhihaki Mwenyezimungu wazi wazi
Haina haja ya kuwasema kwa ubaya kiongozi, Bakwata ni Taasisi ya CCM na muanzilishi wake alikuwa yule mchonga meno Nyerere.
Muanzilishi kaishakufa huku nyuma katuachia Saratani inayosambaratisha Hii Dini. Lkn waislamu wamashaanza kuiona hii Saratani na very soon wataipeleka bakwata aliko Nyerere .
 
Haina haja ya kuwasema kwa ubaya kiongozi, Bakwata ni Taasisi ya CCM na muanzilishi wake alikuwa yule mchonga meno Nyerere.
Muanzilishi kaishakufa huku nyuma katuachia Saratani inayosambaratisha Hii Dini. Lkn waislamu wamashaanza kuiona hii Saratani na very soon wataipeleka bakwata aliko Nyerere .
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
f198609777680ce09636786e7dac8454.jpg

Kwa ufahamu wangu mdogo mkao huu aliokaa Makonda ni sahihi katika kuombewa dua maana kakaa kama yuko kwenye sala. Lakini mbona hajavua viatu ili kukamilisha taratibu za ibada ya kiislamu? Na hao mashehe wanao mwombea dua hawajaliona hilo?
Huu sio usanii wa kisiasa ndani ya dini au mie ndie sifahamu taratibu? Kuna siku hizi dua tutafanyiwa Bar huku Castle lite ya baridi iko pembeni kwa madhumuni ya kiki za siasa.
 
Back
Top Bottom