Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Asante sana mashekhe wetu kwa kujitenga na mtego wanafiki!
 
Hii awamu Viongozi wa dini watanufaika sana(maslai binafsi).
Sijui wapo tayari kiasi gani kuvunja taratibu za dini zao ili kuiunga mkono Serikali.?
 
Walahi tena mashekh wajielewi kweli mgeni rasmi ktk ufunguz wa elimu ya Qur'an unamleta kafiri, masheikh mkapimwe.
 
Ndio maana Mimi huwa naamini Yesu alienda shule kabisa...."ni wagonjwa ndio wanaomuhitaji daktari" maneno yake hayo, sijuhi yanapatikana kifungu gani cha biblia!
 
Ukisikiliza vizuri hapo utagundua kuwa wanataja majina ya mabasi tu...tahfif, taqwa, tashrif namengineyo ya aina hiyo.
 
Ukisikiliza vizuri hapo utagundua kuwa wanataja majina ya mabasi tu...tahfif, taqwa, tashrif namengineyo ya aina hiyo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Achana na lugha za watu wewe
 
Kweli mashekh wa bakwata wamezidi unafiq kwa kuendekeza tumbo.din ya kiislam iko wazi na inamisingi yake na muongozo alotuwekea mungu.haikubaliki dua ya asiyekua muislam kumuombea muislam au muislam kumuombea asiyekua muislam.kwa kuitumia quran.shart asilim kwanza.sasa hawa mashekh uchwara wametumia quran ipi kupata nguvu ya kumkalisha rc kumuombea?hatakama nijambo jema.
 
Back
Top Bottom