Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Halafu kuchwa kutwa mnamtukana Lowasa msanii,huku huyu akiitwa eti mzalendo...nonsense!
 
Haya maigizo,naweza amini sasa anatembeza bahasha,Dua ya kiislamu na masheikh,mtu kakaa na viatu? Bora angesimama tu!!

Vinginevyo atuambie anakiombea cheti chake cha kidato cha nne na sita kitoke sandukuni kilipofichwa na panya!!!

Huyu mtu ataitafuna sana FISIEMU!!
imani zingine bn xx hapo na viatu hyo dua haimfiki?
 
Tanzania kuna vituko aisee hili tukio litakuwa LA kwanza kutoke ndani yahongo miwili
 
Siku hizi pesa imekuwa dereva inaendesha hadi dua. Bora wangemkumbusha kuvua viatu basi. Au waliogopa atakasirika then asitishe kutujengea ofisi zetu nzuri?
 
Haya maigizo,naweza amini sasa anatembeza bahasha,Dua ya kiislamu na masheikh,mtu kakaa na viatu? Bora angesimama tu!!

Vinginevyo atuambie anakiombea cheti chake cha kidato cha nne na sita kitoke sandukuni kilipofichwa na panya!!!

Huyu mtu ataitafuna sana FISIEMU!!
Kinachoombewa sio miguu ya Makonda
Nafsi yake ndio inaombewa, alafu usikariri, Makonda sio muislamu na hapo alipo hajatia udhu na wala hajasilimu sasa unamtaka afate protocol za kiislamu 100% kivipi?

Kwani mtu akiwa na matatizo hao masheikh mbona wanasomea watu dua bila kujali dini zao wala mavazi yao?
Kuna watu wanashikwa na majinamizi( mashetani- lugha iliyozoeleka) mbona wanaitwa masheikh kuwasomea dua, hilo la viatu kawaida tu.

Hapa turudi kwenye mjadala wa uleeee
 
Ilunga kaimba sana Bakwata ni Tawi la CCM hakuwah kutoa ushaidi wenYe mashiko sana ila viashiria vYote havina shaka
 
katika uislamu hakuna utaratibu kama huu umekaa na mimbuti ya viatu kwenye mameza namna hii kama kanisani, kwanza makonda sio muislamu.
Hapo sio dini ni imani ya mtu, tena huwa ni more powerful kuliko dini! Maana amejinyenyekeza kwenye beyond human thinking powers, powers za Sovereign Creator of all Universe!
 
Mshekhe au Mafisiem?? Wanajikomba tuu njaa inawasumbua
 
Wanasiasa wanajua kuteka akili za wajinga bongo, ingiza mambo ya mungu kidogo tu umeteka asilimia kubwa ya watanzania tayari.
 
Wanasiasa wanajua kuteka akili za wajinga bongo, ingiza mambo ya mungu kidogo tu umeteka asilimia kubwa ya watanzania tayari.
Ndio hao wanadini wanatumia masikini kujitajilisha na siasa itapitia hapo kukuza jina sala za kichrito na kiislam wapi na wapi. He need to know his core values instead of searching for one!
 
Kwa mbali naona laana aliyotamkiwa na Gwajima inaanza kumtafuna Makonda.....
 
Back
Top Bottom