Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Mashehe wanashindwa kujenga Ofisi mpaka wajengewe ofisi na makondakita aibu yetu aibu yao
 
Hizi njaa jaman zita tuulia viongozi wetu wa din sijui wamelipwa nn hapo maskin ya mungu daaah!
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiombewa dua na viongozi dini watika wa ufunguzi semina ya Walimu wanaosomesha Quran Tanzania.

View attachment 474598
Ukilaaniwa lazima uwe mwenda wazima a command in chief wa mkoa amelegeza mdomo hajijuwi anafanya nini halafu Magufuli anatoka kutuambia jembe mtu aliyeathirika kisaikolojia kama huyu hafai kuongoza Dar
 
17626566_266919147089509_9004698797686153965_n.jpg
 
Viongozi wetu wa dini hebu mwogopeni Mungu hats Bashite , katumia cheti si chake mvamizi mchonganishi Leo mnamwombea dua?
 
Viongozi wetu wa dini hebu mwogopeni Mungu hats Bashite , katumia cheti si chake mvamizi mchonganishi Leo mnamwombea dua?
Wamuogopee nini? Hii ni 'mnyewe ku mnyewe' jumuia yetu, inamtetea kada wetu, acheni maneno yetu.
 
Back
Top Bottom