Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Ndiyo bado, ataombewa hadi na masangoma, anajitekenya mwenyewe na kucheka.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiombewa dua na viongozi dini watika wa ufunguzi semina ya Walimu wanaosomesha Quran Tanzania.

View attachment 474598
A sweet coincidence. Magufuguli amemuomba mfalme wa Morocco na akaahidiwa msikiti ambao gharama yake haijafahamika bado. Makonda naye aliahidi kuwajengea waislamu msikiti unaotarajiwa kugharimu 4.5bln/=.

Wakristu tunaamini binadamu hawezi kumhonga mungu. Wanalolifanya akina Makonda ni kuwalainisha waislamu na viongozi wao kuwafunga midomo.

Magufuli aliomba msaada, je Makonda atapata wapi hizo 4.5b/=? Zitatokana na michango, ni pesa za umma au zitatokana na vyanzo haramu?
 
Hao MASHEIKH naona njaa inawasumbua sana, hii ni sanaa kwenye jumba la kaole.
 
Hii Nchi Imevamiwa na Wasanii Hata Waumini Wetu Wameshanunuliwa Kesho Moto Utawaunguza

Huu ni Unafki Unaofanywa na Baadhi ya Mashehe Ubwabwa Wetu Unaenda Kuombewa Dua na Makamera Kibao Akuone Nani Kama Siyo Kiki Iwe Nini?

Innalilah Wa ina Ilaigh rajhun Msiba Mkubwa Sana Huu Kwa Mashehe Wetu.

ALLWAH AKBAR.
 
f198609777680ce09636786e7dac8454.jpg

Kwa ufahamu wangu mdogo mkao huu aliokaa Makonda ni sahihi katika kuombewa dua maana kakaa kama yuko kwenye sala. Lakini mbona hajavua viatu ili kukamilisha taratibu za ibada ya kiislamu? Na hao mashehe wanao mwombea dua hawajaliona hilo?
Huu sio usanii wa kisiasa ndani ya dini au mie ndie sifahamu taratibu? Kuna siku hizi dua tutafanyiwa Bar huku Castle lite ya baridi iko pembeni kwa madhumuni ya kiki za siasa.
Sarakasi zote hizo ni Harakati za Daud Bashite ku divert Mjadala unaomtoka aje na Vyeti Vyake vya Kidato cha nne na Sita...
Ni kama Harage linavyoruka ruka wakati wa kuchemsha ila Mwisho wa siku litaungwa tu na kuliwa
 
acheni upoyoyo kwanza hapo haikuwa msikitini mpaka avue viatu, kwani hao waliokuwa wakimwombea hiyo duwa walivua viatu?
 
Albadiri kwa wanaosakama matokeo ya kidato cha nne na jina la Daudi Bashite
 
Hao mashehe waongo kupindukia!!!!
Nina mashaka na tafsiri yao ya kile kitabu kinachosomwa kutokea nyuma
 
SASA NI SAA YA KUFUNGULIA MBWA WANG'ATE MTU (WAMEAMSHA JITU NALO LIMEJITIKISA NA KUPIGA MGUU MMOJA CHINI) TIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII!!!!!!!!!!!!!!1
 
Ujinga tu, yani tumekosa vitu vya kujadili hadi tunajiabisha kwa vioja vya ajabu kiasi hiki?

Hivi Makonda anawanyima chadema usingizi kiasi hiki?

Je hao mashehe wao wamevua viatu? Je hapo ni msikitini?

Ni upumbavu eti sasa hivi agenda kuu ni Makonda.
 
Back
Top Bottom