Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiombewa dua na viongozi dini watika wa ufunguzi semina ya Walimu wanaosomesha Quran Tanzania.

View attachment 474598
Hat mumuombee vipi nyie MAKADA wa FISIEM Huyu Dogojanja hatumuachii mpaka atueleze jina lake halisi nakwanini amefoji cheti
 
Mbona kavaa viatu ? sio najisi kweli, hapo atakua kakanyaga mikojo na vitu vingine vichafu
Kwahiyo hata mskitini ruksa?
duh ngumu kuelewa hapo

Bora wamuombee maskini, maana waovu wameamua kumwandama

Jifunze kuelewa maana ya najisi. Nguruwe kwa waislamu ni najisi lakini kwa wakatoliki ni nyama tamu ya kuliwa. Kwangu mimi kitu chochote kinachohusiana na CCM ni najisi!!

Mungu aangalie viatu, Mungu anacho angalia nini unamaanisha/nia ya wanamaombi na anaye ombewa.
 
Mbona kavaa viatu ? sio najisi kweli, hapo atakua kakanyaga mikojo na vitu vingine vichafu
Kwahiyo hata mskitini ruksa?
duh ngumu kuelewa hapo

Bora wamuombee maskini, maana waovu wameamua kumwandama

Jifunze kuelewa maana ya najisi. Nguruwe kwa waislamu ni najisi lakini kwa wakatoliki ni nyama tamu ya kuliwa. Kwangu mimi kitu chochote kinachohusiana na CCM ni najisi!!

Mungu aangalie viatu, Mungu anacho angalia nini unamaanisha/nia ya wanamaombi na anaye ombewa.
 
Tanzania nchi yangu wapi tunaelekea? Je upendo na nchi yangu upungue au usiwepo kabisaaa au nivae miwani ya macho? Shetani mharibifu kwann tanzania lakini? Eeeh Mungu najua wajua kilio hiki hebu nyoosha mkono wako na kuwaponya wanyonge wasio na hatia maana rohoni mwangu nakosa amani hata niwapo kwenye nyumba za ibada. Wapi tumekosea eeeeh Mungu na utufanyie wepesi katika hilo kosa. Kama mtu mmoja anasababisha basi si vyema taifa liangamie naamini wewe ni Mungu wa miujiza unaweza kufanya lolote na asiwepo wa kulalama. Naamini wewe Mungu wa upendo na rehema utaturehemu.
 
makonda mwisho wako ni mbaya sana. Nakuonea huruma sana. Unajua ndio maana Mwenyezi Mungu hakupi mtoto. Hana akili ya kujenga zaidi kuvuruga with lots of dramas
 
makonda mwisho wako ni mbaya sana. Nakuonea huruma sana. Unajua ndio maana Mwenyezi Mungu hakupi mtoto. Hana akili ya kujenga zaidi kuvuruga with lots of dramas
Hiyo dua mbaya unayomuombea unaweza kukukuta mwenyewe
 
Wauza ngada chadema mna mambo jamani.

Apunguze hasira ili muendelee kufisadi nchi??
 
Naam, huo ndiyo Uislam. Kumwombea mema yeyote yule, hata Nyerere aliombewa na wazee wetu.
 
Back
Top Bottom