Makonda amejificha nyuma ya madawa ya kulevya!
Udhaifu wake wote sasa, anasingizia madawa ya kulevya.
Sasa hivi kitu kisipoenda sawa, sababu anayotoa ni Vita ya Unga.
Hajaleta kwa sababu wanaokiulizia ni "wauza madawa ya kulevya".kwani kile cheti ameleta?
Tena ukiwasachi apo utawakuta na pilipili na vijikohawa ni BAraza la Kula WAli TAnzania