Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

hayo yote tisa, kumi aoneshe cheti chake cha kitatu cha nne basi mwisho wa mchezo asipofanya hivyo issue hii ni mwiba wala haitaisha Leo wala kesho.ANALO.
Taarifa isiyo njema ni kwamba cheti HAKIONESHWI NA HAWEZI KUTUMBULIWA.

Twafaaaaaaaaaz, you know
 
Mimi pia Sheikh vile vile.
Na namuombea Makonda Mungu amuumbue km anavyo waumbua wanyonge wasio na Hatia.
Amdhalilishe km anavyodhalilisha watu wasiokuwa na Hatia.
Amporomishe Chini km alivyo mporomosha Firaun na Maadui wa haki wengine.
Na ampige maradhi yasio poneka kwa Dhulma anazofanyia watu wasiokuwa na Hatia.

Can i get "Amen" .

Ahsanta.
 
Msikitini ukiingia sharti uvue viatu. Makonda kaingia msikitini na viatu.
Kwanini asiende kwa Gwajima akamuombee?
 
Back
Top Bottom