Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 944
vipi yule ambae anawauliza watoto majukwaani eti mimi naitwa nani??Ama kweli desparate times calls for desparate measures! Jamaa amechanganyikiwa hadi anaomba kura kwa watoto wadogo..huyu akiendelea hivi huwezi kushangaa anaomba hadi wanyama wampigie kura ya ndiyo