Picha: Lowassa Kanisani Leo

Picha: Lowassa Kanisani Leo

Safi sana,Rais ni lazma awe mcha Mungu. Magu sjui hata anaendaga kanisa gani
 
Mungu wetu anakaa nasi mioyoni.hii ya kuwasanifu watoto wa Sunday School ni show off na kuzalilisha Kanisa.Magufuli anaenda Ikulu bila ulaghai huu


Ibada kwako imekuwa ulaghai mkuu. hata mpagani ana ibada yake
 
Mungu hamtupi mja wake. Sio wale wenye kuabudu mienge. Isaya 50:11
Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge, enendeni ninyi katika mwali wa moto wenu,na katikati ya mienge mliyoiwasha . Mtapata haya kwa mkono wangu, mtalala kwa huzuni.

Imekaa mkao hii
 
Safari hii atacheza hata na watoto mdaku chezea kulipa kisasi upate uraisi
 
Ni muhimu kuhudhuria ibada siku rasmi ya ibada. Binafsi hata niwe mji mwingine na nyumbani lazima nihakikishe siku ya ibada nahudhuria. Wiki nzima sijaenda kanisani yaani na hata siku moja tu nayo inishinde!? Haiwezekani.
 
hiyo picha feki- haki ya mungu hao watoto ni wa Connacry tena mwaka 1990 si unaona Lowassa alikua haumwi

Amtegemeaye Mungu katika mambo yake huwa mpya kila siku. Hutiwa nguvu kila asubuhi.
 
Alienda tena kuomba kura kwa warutheli nini? huyo mzee asituletee udini hapa tanzania ni moja, na watanzania ni wamoja pia. udini, ukabila, ukanda kamwe tusiupe nafasi

Umeanza kwa kuuliza swali kuonesha huna uhakika wa kinachoendelea...

Lakini ghafla unaanza kutoa mawaidha utadhani jibu la swali ulilouliza walifahamu...
 
Acha ukuda!
Mzee huwa anasali ni muumin mzuri hata kabla ya kutangaza nia!

Mkuu Vitaimana, ukuda wangu uko wapi hapo?...kuuloza Lowassa kasali kanisa gani alipokuwa huko ziarani?

Muweni na milangu ya kuzuia midomo yenu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom