Tabora alienda kuomba kura Kanisani na si kusali !
Dah najaribu kupata picha ila haiji.. unataka kusema RAIS wa awamu ya tano alianza kumwaga sera pale mbele na kuwaimbisha waumini peopleeeez... nao wakajibu powwwweeeeeerr..? duh hiyo picha siipati
VIVA UKAWA!!!!