Picha: Lowassa Kanisani Leo

Picha: Lowassa Kanisani Leo

Hivi ni lini mimi nifah nitapata bahati ya kushikwa mkono na rais wangu kipenzi Lowassa?
Nimewaonea wivu sana hao watoto!

Kwaaaaaaaaaa!!!!!! Labda uguse TV akiwa anapunga mkono😀😀😀😀 mimi kama takuwepo Mwaza tajipendekeza japo niguse koti lake labda Naweza kuwa na hekima hata robo za Lowassa.
 
Last edited by a moderator:
Alienda tena kuomba kura kwa warutheli nini? huyo mzee asituletee udini hapa tanzania ni moja, na watanzania ni wamoja pia. udini, ukabila, ukanda kamwe tusiupe nafasi
 
Alienda tena kuomba kura kwa warutheli nini? huyo mzee asituletee udini hapa tanzania ni moja, na watanzania ni wamoja pia. udini, ukabila, ukanda kamwe tusiupe nafasi

CCM mtakufa na kihoro. unakataa mtu asisali kisa siasa?? mzee Lowassa anayo hofu ya Mungu na Mungu kamwe hamuachi mtu mwenye hofu Juu yake. Kila analofanya humtanguliza Mungu na Ndiyo maana Watanzania wanamhitaji Lowassa maana anayo hofu ya Mungu ndani yake.
 
Alienda tena kuomba kura kwa warutheli nini? huyo mzee asituletee udini hapa tanzania ni moja, na watanzania ni wamoja pia. udini, ukabila, ukanda kamwe tusiupe nafasi

We utakua sio mzima.... Kwaiyo ulitaka alale au.... Kipi kimeongelewa cha udini apo..... Ivi ivi unakua mjinga mjinga kutetea upuuzi... Lione
 
Hivi Magufuli ni mkristo gani aise enda kanisani ??? Mtu hata Mungu tu hawezi kumtumikia ,atawatumikia vipi wana Wa Mungu
 
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa akifurahi jambo na watoto wakati alikuwa akitoka kanisani kwenye Ibada ya Jumapili, Musoma.
attachment.php

Ama kweli desparate times calls for desparate measures! Jamaa amechanganyikiwa hadi anaomba kura kwa watoto wadogo..huyu akiendelea hivi huwezi kushangaa anaomba hadi wanyama wampigie kura ya ndiyo
 
Hivi Magufuli huwa anaenda kanisani kweli maana sijawahi kusikia wala,kushuhudia kabisa nauliza sio kwa nia mbaya,maana kiongozi bora pia ni yule mwenye hofu ya Mungu

huwezi kumchanganya Mungu na Mambo ya Kishirikina Mkuu.

Ni kama maji na mafuta kamwe havichangamani.

Ni sawa na Mafuli na Ibada.
 
We utakua sio mzima.... Kwaiyo ulitaka alale au.... Kipi kimeongelewa cha udini apo..... Ivi ivi unakua mjinga mjinga kutetea upuuzi... Lione

We ndo kubwa jinga. lofa wewe! kule tabora kanisani unakumbuka alisemaje? kusema ni zamu ya warutheli kuongoza nchi hiyo kauli itamgharimu
 
Back
Top Bottom