Picha: Lowassa Kanisani Leo

Picha: Lowassa Kanisani Leo

Hivi Magufuli huwa anaenda kanisani kweli maana sijawahi kusikia wala,kushuhudia kabisa nauliza sio kwa nia mbaya,maana kiongozi bora pia ni yule mwenye hofu ya Mungu

Anashinda site
 
Hivi Magufuli huwa anaenda kanisani kweli maana sijawahi kusikia wala,kushuhudia kabisa nauliza sio kwa nia mbaya,maana kiongozi bora pia ni yule mwenye hofu ya Mungu

Yeye sio Mlutheri !
 
bora Hao Watoto! ..Kuliko Wewe Husiyejua Chaguo Bora Kwa Maendeleo Bora Kwako Na Kwa Watoto Wako!...Pole Sana kwa Wanao Kuwa Na Mzazi Kama Wewe!


Lowassa Pekee Ndie Chaguo Langu!!

ni vizuri likawa 'chaguo lako'....Magufuli chaguo la wengi!
 
Alienda tena kuomba kura kwa warutheli nini? huyo mzee asituletee udini hapa tanzania ni moja, na watanzania ni wamoja pia. udini, ukabila, ukanda kamwe tusiupe nafasi

Aliyeleta mada amekwambia alienda kaninsani. Hajasema kilichoongelewa chochote. Sasa wewe ona uliyoyaongezea, watu kama nyie ndo mnapewaga ujauzito bila kutarajia sababu ya kiherehere............cha ajabu.
 
Back
Top Bottom