Hao Watoto Walijuaje Kuwa Ni El?
Mie siyo Mlutheri, lakini nafahamu kuwa katika Makanisa yao watoto husali peke yao (Sunday School), hivyo pengine wakati anatoka alikutana nao nje wakitoka kweye hiyo Sunday School yao. Kumjua EL, huyu ni kama superstar kwa Watanzania, hakuna asiyemjua kwa sura. Hakuna mpenzi wa Kandanda la Kimataifa asiyemjua Messi au Ronaldo kwa sura.