Picha: Lowassa Kanisani Leo

Picha: Lowassa Kanisani Leo

Ama kweli desparate times calls for desparate measures! Jamaa amechanganyikiwa hadi anaomba kura kwa watoto wadogo..huyu akiendelea hivi huwezi kushangaa anaomba hadi wanyama wampigie kura ya ndiyo

Mkuu Magufuli huwa anafanya Ibada kweli?
 
Hivi ni lini mimi nifah nitapata bahati ya kushikwa mkono na rais wangu kipenzi Lowassa?
Nimewaonea wivu sana hao watoto!

wewe acha mm siku nilipoongea nae kwenye sim kwa mara ya kwanza ilikuwa 2013 yaani nilifurahi sana anaongea vizuri. Kesho nakamata fursa lazima nimshike mkono. Leo jion ntamtext
 
Last edited by a moderator:
Ama kweli desparate times calls for desparate measures! Jamaa amechanganyikiwa hadi anaomba kura kwa watoto wadogo..huyu akiendelea hivi huwezi kushangaa anaomba hadi wanyama wampigie kura ya ndiyo
Nilivyokusoma kisaikolojia, unaonyesha wazi kuwa umewaonea wivu hao watoto, unatamani wewe ndiye ungekuwa mtoto ushikwe mkono na Rais!
 
Alienda kuomba kura tena?

Bora huyu anaenda kweupe kwenye nyumba za ibada kuliko Makomeo karithi ugagula wa mkwere na nasikia pesa za Libya zinaleta magagula tu wa kimataifa chini ya uratibu wa Maembe wa NafNaf beach hotels!!!
 
Back
Top Bottom