Picha: Johari ajifungua kwa siri

Picha: Johari ajifungua kwa siri

The royal penis is clean your highness!:becky:
 
hivi ni fashion wasanii kuzaa bila ndoa. je alikuwa anaficha wa nini au alitaka midume iingie chaka. nasikia hata rc wakwake anamficha. bora muwe kama wema anayetafuta mimba popote.

fashion ni msanii kutunza mimba kimyakimya kwa kuwa wasanii wetu wakiwa na mimba lazma wazianike mitandaoni
 
Excel mwenyewe hana hela, juzi alinikopa elfu ishirin PM, sijui ndio alikuwa anataka kukuhonga atajijua yeye

Khaa!!Excel pesa anayo bwana ya kunipa nikaridhika!halafu mimi mwenyewe pesa ninayo wala sihitaji kuhongwa!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Excel mwenyewe hana hela, juzi alinikopa elfu ishirin PM, sijui ndio alikuwa anataka kukuhonga atajijua yeye

Hahahahahaa uwiiiii jamani nimeshindwa kuvumilia kucheka kimyakimya!
Hivi vichambo vyako binamu vinasababisha wenzio tunafunguliwa ID mpya za kulalamikiwa!
 
Last edited by a moderator:
inabid kuwe na kampen ya kumlazimisha ray kumuo huyu dada, amempotezea mda sana na kamvumilia sana na uhun wake wote ule, kilichobaki hapa ni amuoe tu maana nani sasa atamuoa huyu dada kila mtu anajua ni wa ray!!!!

Naunga mkono hoja.Nitashiriki katika kampeni.
 
Hahahahahaa uwiiiii jamani nimeshindwa kuvumilia kucheka kimyakimya!
Hivi vichambo vyako binamu vinasababisha wenzio tunafunguliwa ID mpya za kulalamikiwa!

Wakina nani tena hao? KHaa ebu nitajie niwajue tu
 
Wakina nani tena hao? KHaa ebu nitajie niwajue tu

Nikutajie ilhali na wewe umechambwa? Hahahahaa hebu nenda jukwaa la complaints ukajionee kuna thread inaitwa Makavu laivu.
Hili janga la notifications linakera maana hiyo thread ina siku 3 sasa lakini wala hujui!
 
Nikutajie ilhali na wewe umechambwa? Hahahahaa hebu nenda jukwaa la complaints ukajionee kuna thread inaitwa Makavu laivu.
Hili janga la notifications linakera maana hiyo thread ina siku 3 sasa lakini wala hujui!

Nani huyo kanichamba nimuibukie maana nina hasira za tuzo ya juzi yan nitaua mtu, ngoja niende
 
Back
Top Bottom