Picha: Johari ajifungua kwa siri

Picha: Johari ajifungua kwa siri

Sasa nimepata jibu kwa nini IDRISSA SULTAN aliweka ile Instagram ile clip inayomuonyesha RAY akishukuru watu waliompa tuzo na kumshukuru mpenz wake CHUCHU!!!Idriss alicheka saaaaanaaaaaa!!

Kweli hii ni Noti Raiti!!
 
Sasa nimepata jibu kwa nini IDRISSA SULTAN aliweka ile Instagram ile clip inayomuonyesha RAY akishukuru watu waliompa tuzo na kumshukuru mpenz wake CHUCHU!!!Idriss alicheka saaaaanaaaaaa!!

Kweli hii ni Noti Raiti!!

Alicheka kwa ajili ya kiingereza kibovu, alisema anamshukuru gero friend wake badala ya girlfriend
 
Alicheka kwa ajili ya kiingereza kibovu, alisema anamshukuru gero friend wake badala ya girlfriend

Ahahaha kumbe!?ila idris anamafumbo sana yule mtoto

Magufuri rais wangu!!
 
Hata mi naona sura ya ray ipo aisee, ingawa napataga shida kufananisha sura za watoto.

Sijui wenyewe, ila huwa nadhani Johari ni wife material among bongo movies

Yeah, kwa mtazamo wa nje hilo halina shaka.
Ila Ray anayemjua kiundani sijui kwanini hua anasitasita kumchukua jumla, huenda kuna tusiyoyajua..lol
 
Yeah, kwa mtazamo wa nje hilo halina shaka.
Ila Ray anayemjua kiundani sijui kwanini hua anasitasita kumchukua jumla, huenda kuna tusiyoyajua..lol

Unais nn
 
Yeah, kwa mtazamo wa nje hilo halina shaka.
Ila Ray anayemjua kiundani sijui kwanini hua anasitasita kumchukua jumla, huenda kuna tusiyoyajua..lol

Yaa inawezekana
 

Mie sihisi chochote bwana binamu, just saying. ...
Hivi unaijua acc ya linda_mrsmali huko instagram? Nimecheka mange anavyochambwa na Linda jamani sina hamu.
Hasa ile picha ya alivyofanya surgery ya kuongeza makalio....lol
 
Mie sihisi chochote bwana binamu, just saying. ...
Hivi unaijua acc ya linda_mrsmali huko instagram? Nimecheka mange anavyochambwa na Linda jamani sina hamu.
Hasa ile picha ya alivyofanya surgery ya kuongeza makalio....lol
Ila pua kama kweli halafu ukiangalia vizuri upande mmoja mrefu mwingine mfupi
 
Mie sihisi chochote bwana binamu, just saying. ...
Hivi unaijua acc ya linda_mrsmali huko instagram? Nimecheka mange anavyochambwa na Linda jamani sina hamu.
Hasa ile picha ya alivyofanya surgery ya kuongeza makalio....lol

Kah kumbe naye kajifanyia surgery ya makalio. Majanga ndo kuna sehemu baada ya Linda Ku post nyumba yake kaandika gazeti refu hilo .
 
Ila pua kama kweli halafu ukiangalia vizuri upande mmoja mrefu mwingine mfupi

Hahaaaaa ukiona hivo ujue ni surgery cheap za vichochoroni hizo. Kama kafanya kweli na haijakaaa sawa poa itamomonyoka atajua vizuri.
 
Ila pua kama kweli halafu ukiangalia vizuri upande mmoja mrefu mwingine mfupi

Hahahahahaha jamani nimecheka kama mwehu! Kweli before ya surgery Mange alikua zaidi ya muhindi!
 
Kah kumbe naye kajifanyia surgery ya makalio. Majanga ndo kuna sehemu baada ya Linda Ku post nyumba yake kaandika gazeti refu hilo .

Shoga acha tu.Twende pm bwana tukamalizie lile suala....halafu utafurahi!
 
Back
Top Bottom