Picha: Johari ajifungua kwa siri

Picha: Johari ajifungua kwa siri

Nani huyo kanichamba nimuibukie maana nina hasira za tuzo ya juzi yan nitaua mtu, ngoja niende

Hahahahahaa nenda ukaone.Ila ni mashabiki wa ndomo tu waoga kama kitu gani sijui.
Kazi ya kufungua fake ID tu kuja na hizi za siku zote hawathubutu.
 
Hahahahahaa nenda ukaone.Ila ni mashabiki wa ndomo tu waoga kama kitu gani sijui.
Kazi ya kufungua fake ID tu kuja na hizi za siku zote hawathubutu.

NImeona, khaa eti tunamkera, muongo mkubwa wakati ndio fan wetu mkubwa wa umbea, mxiuu yani bahati uzi umefutwa ningemnyea na ID yake mpya mpaka angejuta
 
NImeona, khaa eti tunamkera, muongo mkubwa wakati ndio fan wetu mkubwa wa umbea, mxiuu yani bahati uzi umefutwa ningemnyea na ID yake mpya mpaka angejuta

Hahahahahaa! Yule ni shabiki wa domo binamu.Sasa kaona huku maji yamezidi unga ikabidi akafungue ID mpya ambayo nako ameshindwa pia akakimbia.
Atufuate na ID yake ya siku zote kama hodari sana.
 
Yule ata hana shida, baba ake mlezi kashamfanyia shopping ya nguvu uko uingereza, kuna watu wana vipaji vya kulea tu na wengine wana vipaji vya kuzalisha

Hahahahahahaa binamu unanivunja mbavu!
 
Hahahahahahaa binamu unanivunja mbavu!

Ndio hvyo, wengine wanajua kuzalisha tu mwambie alete hela ya pampasi kama hamjagombana, ila wengine kuzalisha hawajui ila kwenye kulea sasa, shopping itafanyika mpaka ulaya, ndio inavyokuwaga, mwache ndomo wa watu atapata thawabu kwa mungu
 
Hahahahahaa! Yule ni shabiki wa domo binamu.Sasa kaona huku maji yamezidi unga ikabidi akafungue ID mpya ambayo nako ameshindwa pia akakimbia.
Atufuate na ID yake ya siku zote kama hodari sana.

Ule uzi kwanza bado upo? Nataka nikamnyee kwanza,maana kovu la tuzo bado bichi huyu mbwa nae kanichefua, lazima nimchezeshe kigodoro leo mpaka ajute
 
Ndio hvyo, wengine wanajua kuzalisha tu mwambie alete hela ya pampasi kama hamjagombana, ila wengine kuzalisha hawajui ila kwenye kulea sasa, shopping itafanyika mpaka ulaya, ndio inavyokuwaga, mwache ndomo wa watu atapata thawabu kwa mungu

Mimi naomba Mungu amsaidie pepo la mademu zake kuporomosha mimba zake lishindwe na lilegee kabisa kabisa.
Ila Penny Mungilwa muttu mubaya sana alisemaje vile, eti d hana uwezo wa kuzalisha?
Penny ni daktare wa uzazi au?
 
Ndio hvyo, wengine wanajua kuzalisha tu mwambie alete hela ya pampasi kama hamjagombana, ila wengine kuzalisha hawajui ila kwenye kulea sasa, shopping itafanyika mpaka ulaya, ndio inavyokuwaga, mwache ndomo wa watu atapata thawabu kwa mungu

Hhahhahahahahahaahahahah dadeki mbwa weee
 
Mimi naomba Mungu amsaidie pepo la mademu zake kuporomosha mimba zake lishindwe na lilegee kabisa kabisa.
Ila Penny Mungilwa muttu mubaya sana alisemaje vile, eti d hana uwezo wa kuzalisha?
Penny ni daktare wa uzazi au?

Unaambiwa raha ya ngoma uicheze, penny kashacheza anayajua yaliyomo, dah anatia huruma ila
 
Unaambiwa raha ya ngoma uicheze, penny kashacheza anayajua yaliyomo, dah anatia huruma ila

Ha ha ha!
Penny naye akajambe mbele, yeye kazaa wototo wangapi kwani?
Kazi kupaka maheavy make up tu kama nsyuka, yaleyale ndo yanayoua mayai yao.
Ila domo kwa kuropoka nampa 1009% yani kwa hili hana mpinzani.
Yupo ki intaneshino kabisa katika uropo ndio maana watu wana tafsiri kuwa anapenda kudhalilisha wanawake ila ni kukosa break mdomoni tu.
 
Khaa!!Excel pesa anayo bwana ya kunipa nikaridhika!halafu mimi mwenyewe pesa ninayo wala sihitaji kuhongwa!!!!!
Morning kiss honey!!!:hug::hug::hug:
achana na warumi bhana!
Hivi si unajua warumi ndo aliambiwa na mangi anunue gazeti ajipepee???:biggrin1:
 
Last edited by a moderator:
Morning kiss honey!!!:hug::hug::hug:
achana na warumi bhana!
Hivi si unajua warumi ndo aliambiwa na mangi anunue gazeti ajipepee???:biggrin1:

Morning honey!!!warumi mi hanisumbuagi nimeshamzoea kitamboo!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom