Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
Nikupe nini this morning?
chagua....
ahahaha we excel warumi atajinyonga ujuee?!
Nikupe nini this morning?
chagua....
Chagua kwanza.. Halafu naona leo kajua kamechomoza vizuri sana! Siku itakua poa sana wangu..ahahaha we excel warumi atajinyonga ujuee?!
Mpe umbea tu huyo ataridhika
Kama anakupenda kweli mwambie akupe umbea wa lulu na ruge mtahaba
Pesa yangu uliyonikopa unanirudishia lini?
Kwan kaenda wapi?
Kama anakupenda kweli mwambie akupe umbea wa lulu na ruge mtahaba
Mimi nitakuwa project manager kwa kweli
Hata mi naona sura ya ray ipo aisee, ingawa napataga shida kufananisha sura za watoto.
Sijui wenyewe, ila huwa nadhani Johari ni wife material among bongo movies
Uko vizuri inspector hata mimi katika hilo nimeliona johari ni wife material nadhani labda kwa sababu ni msukuma
why unawafagilia wasukuma mkuu?
Kama anakupenda kweli mwambie akupe umbea wa lulu na ruge mtahaba