tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,422
Huyo mzee si alitoka na madame akampa laki nane
Madame nani.??? Wema au...huyo mzee ushampata ni yupi eeh
Huyo mzee si alitoka na madame akampa laki nane
Madame nani.??? Wema au...huyo mzee ushampata ni yupi eeh
Nishampata yeah madame sepetunga
Maaaaamaa weee lini hiyo...yule mzee kwa totoz ni htr..tena hana mke....ila uwoya kadum nae tangu mwaka jana...wana mwaka na kitu..last year uwoya alienda south trip...alipelekwa na zee
Bongo movie wana share mabwana kama hawana akili nzuri
Haoooooo kwa madanga yao
Uwoya anamuaribu mwenzie huyu
Kwa nn binamu
Yn kajificha mimba..mpk mtoto...
Kupiga picha na mtt wa mtu pia inawezekana ht sisi tuna dada na kaka wenye vitoto
Tunaweza uza navyo sura..tuone pic za mimba km kina hamisa na mboni tutaamini hibi hivi nope
Unaweza kuta kadaganya aiseee.
Kumbe jee...
Snura kaficha mimba kajifungua lkn tukaona tbt za mimba kichanga
MbonI na hamisa pia si hao mwsho tumejua ooh kumbe walibeba mimba...kiukweli
Unaweza kuta kadaganya aiseee.
Mamii cio unaweza kuta, uhalisia huyo mtoto cio wake ni wa mdogo ake toka nitoke,na hilo jina la mtoto alilosema kuwa anaitwa maria, alikuwa anawazingua GPL ili wahisi ni kweli coz hilo jina ni la mama ake greatest a.k.a chura.
Hahaaa Johari ni kiboko aisee au alikua ana mrusha roho Ray loh. Kumbe ni wa mdogo wake.
Hawezi kumrusha roho ray coz c wanashinda wote hapo kwa kina ray sinza mori kwenye ofisi yao, kwa hiyo lazima anajua kuwa alikuwa hana kibendi. Anataka kutoa muvi so anaandaa mazingira.
ha ha ha hata nanii nae ni bikra ila ana mtoto lolCha ajabu ni kipi hapa? Mzazi alikuwa bikira?