Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Napenda kujua,ni nani mwingine ambaye ameshapeleka misaada binafsi pale MBAGALA baada au kabla ya SHIGONGO,MENGI NA MANJI(MANJI ALIENDA KUONESHA JEURI YA PESA NA DHARAU Baada Mengi kwa MOYO wake kutoa msaada).
Jibu lako lilenge viongozi wa kisiasa hasa wabunge ambao wamedai nyongeza ya posho kwa kigezo kuwa wanachangia pesa nyingi ktk majimbo yao.PIA NI VIONGOZI/WABUNGE WANGAPI NA WANAGARAMIWA NA NANI KUHAKIKISHA CCM INA SHINDA UCHAGUZI BUSANDA?
Jibu lako lilenge viongozi wa kisiasa hasa wabunge ambao wamedai nyongeza ya posho kwa kigezo kuwa wanachangia pesa nyingi ktk majimbo yao.PIA NI VIONGOZI/WABUNGE WANGAPI NA WANAGARAMIWA NA NANI KUHAKIKISHA CCM INA SHINDA UCHAGUZI BUSANDA?