MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 182
enough with mijadala ya ufisadi...
Who are you to say it is enough? Who gave you the power!! you sound like Makamba!!
enough with mijadala ya ufisadi...
Kwa matatizo ya kiuchumi na kijamii, lawama zinakwenda kwa CCM moja kwa moja. Ndio waliokabidhiwa Tanzania. Wewe Game usitake kupindisha pindisha mambo. Tunakujua wewe ni zao la ufisadi na unafaidika na mfumo wa ufisadi unaoendelezwa na CCM. Ebo!!! Usitake kuniharibia appetite yangu ya kitimoto hapa Rainbow.
Hii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009
enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
Wanafunzi wa darasa la saba kutoka Mbagala Kuu jijini Dar es salaam wakiwa katika mitihani yao ya kila mwezi.
-Spika wa bunge letu bwana Samuel Sitta anasema kuwa wabinge wanastahili kulipwa zaidi ya milioni 7 kwa mwezi apart from marupu rupu
-Pesa za kupigana vita Comoro tunazo
-Pesa za mabilioni kwa ajili ya ID cards pia tunazo
-Pesa za kumpa Mattaka na wajumbe wake kule NIC tunazo
This picture shows how out of touch tumekuwa na majority on the ground. Its been 2 years hakuna kinachojadiliwa zaidi ya UFISADI, ile ilani yetu ya UCHAGUZI imetupwa kapuni na mbaya zaidi wapinzani kama CHADEMA nao wako more out of touch kuliko wote on the ground kwani wao bora kukodi helicopter ili kuwakimbia wananchi wakati wa kampeni...
Pesa ya helicopter si wangewanunulia madawati hawa wanafunzi?
anyway nawasilisha.
huoni hii ni zao la ufisadi, sasa tukiacha kuongelea ufisadi matokeo yake ndio haya, neno ufisadi lina maana pana kuliko unavyo fikiria, ni pamoja na matumizi mabaya ya mali ya umma, kuiflate price , upendeleo etc etcHii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009
enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
Wanafunzi wa darasa la saba kutoka Mbagala Kuu jijini Dar es salaam wakiwa katika mitihani yao ya kila mwezi.
-Spika wa bunge letu bwana Samuel Sitta anasema kuwa wabinge wanastahili kulipwa zaidi ya milioni 7 kwa mwezi apart from marupu rupu
-Pesa za kupigana vita Comoro tunazo
-Pesa za mabilioni kwa ajili ya ID cards pia tunazo
-Pesa za kumpa Mattaka na wajumbe wake kule NIC tunazo
This picture shows how out of touch tumekuwa na majority on the ground. Its been 2 years hakuna kinachojadiliwa zaidi ya UFISADI, ile ilani yetu ya UCHAGUZI imetupwa kapuni na mbaya zaidi wapinzani kama CHADEMA nao wako more out of touch kuliko wote on the ground kwani wao bora kukodi helicopter ili kuwakimbia wananchi wakati wa kampeni...
Pesa ya helicopter si wangewanunulia madawati hawa wanafunzi?
anyway nawasilisha.
Hii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009
Wanafunzi wa darasa la saba kutoka Mbagala Kuu jijini Dar es salaam wakiwa katika mitihani yao ya kila mwezi.
Hawa ndio Vasco kaenda kuwatafutia IBM computers!, ten hawa mbona wana afadhali sana tuu, hebu sogea Mkuranga tu uone jinsi watoto wa shule wanavyoishi kijima!
enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
-Spika wa bunge letu bwana Samuel Sitta anasema kuwa wabinge wanastahili kulipwa zaidi ya milioni 7 kwa mwezi apart from marupu rupu
-Pesa za kupigana vita Comoro tunazo
-Pesa za mabilioni kwa ajili ya ID cards pia tunazo
-Pesa za kumpa Mattaka na wajumbe wake kule NIC tunazo
This picture shows how out of touch tumekuwa na majority on the ground. Its been 2 years hakuna kinachojadiliwa zaidi ya UFISADI, ile ilani yetu ya UCHAGUZI imetupwa kapuni na mbaya zaidi wapinzani kama CHADEMA nao wako more out of touch kuliko wote on the ground kwani wao bora kukodi helicopter ili kuwakimbia wananchi wakati wa kampeni...
Pesa ya helicopter si wangewanunulia madawati hawa wanafunzi?
anyway nawasilisha.
This is GT i know na kumkubali.Karibu naona umerudi jamvini vile ambavyo uko siyo vile ambavyo hauko.
Maneno mazito sana haya,nafikiri kama Ikulu wakitupa gharama za safari za Mkulu nje ya nchi toka aingie ikulu shule nyingi zingeweza kabisa kuondokana na hizi adha kwa pesa hiyo.
Naomba kama kuna mwanaJF mwenye records/data atupe mlinganisho wa foreign trips be it official au unofficial zilizofanywa na Rais Mwinyi,Rais Mkapa na Rais JM Kikwete katika kipindi cha miaka 3 na nusu ya kwanza ya awamu zao. Ingependeza kama tungeweka na gharama za kila trip (tutaangalia na CPI ili kuweka mlinganisho sahihi wa gharama).
Halafu tutamuuliza nini ambacho Tanzania ilifaidika kutokana na trip zake tukilinganisha na trip za waliomtangulia.
Natamani tufike mahali tumhukumu JK kwa haki kama ni Vasco Dagama kweli au amekuwa akifanya trip zenye kuleta manufaa kwa nchi na wananchi wake maskini.
Naomba kuwasilisha
T
enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
-Spika wa bunge letu bwana Samuel Sitta anasema kuwa wabinge wanastahili kulipwa zaidi ya milioni 7 kwa mwezi apart from marupu rupu
-Pesa za kupigana vita Comoro tunazo
-Pesa za mabilioni kwa ajili ya ID cards pia tunazo
-Pesa za kumpa Mattaka na wajumbe wake kule NIC tunazo
This picture shows how out of touch tumekuwa na majority on the ground. Its been 2 years hakuna kinachojadiliwa zaidi ya UFISADI, ile ilani yetu ya UCHAGUZI imetupwa kapuni na mbaya zaidi wapinzani kama CHADEMA nao wako more out of touch kuliko wote on the ground kwani wao bora kukodi helicopter ili kuwakimbia wananchi wakati wa kampeni...
Pesa ya helicopter si wangewanunulia madawati hawa wanafunzi?
anyway nawasilisha.
...of course hii inaonyesha ni impact za mabomu na picha hii inaonyesha wapo nnje sio darasani.
... does it mean the government can not provide even chairs?
Hii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009
enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
Wanafunzi wa darasa la saba kutoka Mbagala Kuu jijini Dar es salaam wakiwa katika mitihani yao ya kila mwezi.
-Spika wa bunge letu bwana Samuel Sitta anasema kuwa wabinge wanastahili kulipwa zaidi ya milioni 7 kwa mwezi apart from marupu rupu
-Pesa za kupigana vita Comoro tunazo
-Pesa za mabilioni kwa ajili ya ID cards pia tunazo
.
Tusiji-pretend kama hatujui politics za Bongo. Ukitaka kutoa mchango kwa jamii unaanza kuwekewa vikwazo vya aina fulani na viongozi wa wilaya hadi taifa ili mradi usionekane kana kwamba unajali jamii. Kuna watu wengi wanapenda kuweka/ kuleta maendeleo maeneo wanayotoka lakini wanakumbana na vikwazo toka kwa aidha wabunge wa sehemu hizo wa wakuu wa wilaya/ mikoa au mawaziri. Wakati wote wanasiasa wanafikiri unapokwenda kutoa msaada sehemu fulani basi wewe unataka kugombea ubunge.