Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009
enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
Wanafunzi wa darasa la saba kutoka Mbagala Kuu jijini Dar es salaam wakiwa katika mitihani yao ya kila mwezi.
-Spika wa bunge letu bwana Samuel Sitta anasema kuwa wabinge wanastahili kulipwa zaidi ya milioni 7 kwa mwezi apart from marupu rupu
-Pesa za kupigana vita Comoro tunazo
-Pesa za mabilioni kwa ajili ya ID cards pia tunazo
-Pesa za kumpa Mattaka na wajumbe wake kule NIC tunazo
This picture shows how out of touch tumekuwa na majority on the ground. Its been 2 years hakuna kinachojadiliwa zaidi ya UFISADI, ile ilani yetu ya UCHAGUZI imetupwa kapuni na mbaya zaidi wapinzani kama CHADEMA nao wako more out of touch kuliko wote on the ground kwani wao bora kukodi helicopter ili kuwakimbia wananchi wakati wa kampeni...
Pesa ya helicopter si wangewanunulia madawati hawa wanafunzi?
anyway nawasilisha.
enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
Wanafunzi wa darasa la saba kutoka Mbagala Kuu jijini Dar es salaam wakiwa katika mitihani yao ya kila mwezi.
-Spika wa bunge letu bwana Samuel Sitta anasema kuwa wabinge wanastahili kulipwa zaidi ya milioni 7 kwa mwezi apart from marupu rupu
-Pesa za kupigana vita Comoro tunazo
-Pesa za mabilioni kwa ajili ya ID cards pia tunazo
-Pesa za kumpa Mattaka na wajumbe wake kule NIC tunazo
This picture shows how out of touch tumekuwa na majority on the ground. Its been 2 years hakuna kinachojadiliwa zaidi ya UFISADI, ile ilani yetu ya UCHAGUZI imetupwa kapuni na mbaya zaidi wapinzani kama CHADEMA nao wako more out of touch kuliko wote on the ground kwani wao bora kukodi helicopter ili kuwakimbia wananchi wakati wa kampeni...
Pesa ya helicopter si wangewanunulia madawati hawa wanafunzi?
anyway nawasilisha.