Picha itakayomsuta JK na wabunge wake mamilionea.....

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Hii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009

enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
maendeleo.jpg

Wanafunzi wa darasa la saba kutoka Mbagala Kuu jijini Dar es salaam wakiwa katika mitihani yao ya kila mwezi.



-Spika wa bunge letu bwana Samuel Sitta anasema kuwa wabinge wanastahili kulipwa zaidi ya milioni 7 kwa mwezi apart from marupu rupu

-Pesa za kupigana vita Comoro tunazo

-Pesa za mabilioni kwa ajili ya ID cards pia tunazo

-Pesa za kumpa Mattaka na wajumbe wake kule NIC tunazo

This picture shows how out of touch tumekuwa na majority on the ground. Its been 2 years hakuna kinachojadiliwa zaidi ya UFISADI, ile ilani yetu ya UCHAGUZI imetupwa kapuni na mbaya zaidi wapinzani kama CHADEMA nao wako more out of touch kuliko wote on the ground kwani wao bora kukodi helicopter ili kuwakimbia wananchi wakati wa kampeni...

Pesa ya helicopter si wangewanunulia madawati hawa wanafunzi?

anyway nawasilisha.
 
Kwa maneno mengine Chadema ni sawa na CCM?

Ndio...kwa nini wakodi helicopter la mamilioni in the first place?

wanakimbia nini? hawataki kuona reality on the ground?

huku tunalalama CCM wafujaji alternative nao ndio kama hivyo kwa matanuzi hawawezeki
 
This is GT i know na kumkubali.Karibu naona umerudi jamvini vile ambavyo uko siyo vile ambavyo hauko.

Maneno mazito sana haya,nafikiri kama Ikulu wakitupa gharama za safari za Mkulu nje ya nchi toka aingie ikulu shule nyingi zingeweza kabisa kuondokana na hizi adha kwa pesa hiyo.

Naomba kama kuna mwanaJF mwenye records/data atupe mlinganisho wa foreign trips be it official au unofficial zilizofanywa na Rais Mwinyi,Rais Mkapa na Rais JM Kikwete katika kipindi cha miaka 3 na nusu ya kwanza ya awamu zao. Ingependeza kama tungeweka na gharama za kila trip (tutaangalia na CPI ili kuweka mlinganisho sahihi wa gharama).

Halafu tutamuuliza nini ambacho Tanzania ilifaidika kutokana na trip zake tukilinganisha na trip za waliomtangulia.

Natamani tufike mahali tumhukumu JK kwa haki kama ni Vasco Dagama kweli au amekuwa akifanya trip zenye kuleta manufaa kwa nchi na wananchi wake maskini.

Naomba kuwasilisha

T
 
GT Mie mpaka sasa bado sielewi kwanini jamaa hawafanyi tunayotaka,WHY???????????????

this country it is not supposed to be like this anymore!

Hell no,Shame on You who have made my people live like this,What do we teach this young generation?wazoee Shida??

alafu utakuta mzee anmwambia mtoto wake,hata siye tulisoma kwa shida..lol

lets think wisely from here,tuangalie vizuri na tujiandae kwa mabadiliko 2020
 
Ndio...kwa nini wakodi helicopter la mamilioni in the first place?

wanakimbia nini? hawataki kuona reality on the ground?

huku tunalalama CCM wafujaji alternative nao ndio kama hivyo kwa matanuzi hawawezeki

Hivi Ruzuku ya CHADEMA kwa mwezi ni shilingi ngapi?bei ya kukodi Ndege Je?

Mie nakwambia unaweza kuta hata katika hivi vyama kuna kina 'Rostam' wao!Period
 
Hili si tatizo la Kikwete na CCM, hili ni tatizo la watz kujitia umasikini wa makusudi kwa kuwachagua wezi hawa
 
Ndio...kwa nini wakodi helicopter la mamilioni in the first place?

wanakimbia nini? hawataki kuona reality on the ground?

huku tunalalama CCM wafujaji alternative nao ndio kama hivyo kwa matanuzi hawawezeki

GT hao CHADEMA hawana TRA in a way hatuwezi kuwasema kwenye kufuja mali zetu lakini ccm ndio tumewakabidhi hii nchi lakini ndio hao wanaoishia kuweka pesa zetu nje Chenge ni mfano. Hayo mashangingi piga hesabu yangenunua madawati mangapi? Lakini pia hata hii ziara ya kwenda kumtemblea Steven Seagal huko US I'm sure isingefanyika ingenunua madawati mengi tu. Me nakuashauri kabla ya kuwanyoshea kidole chadema ungemalizana kwanza na hawa tuliowakabidhi dhamana ya kusimamia rasilimali zetu directly lakini wameishia kufanya usanii na safari zisizoisha.
 
Hii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009

enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
maendeleo.jpg

Wanafunzi wa darasa la saba kutoka Mbagala Kuu jijini Dar es salaam wakiwa katika mitihani yao ya kila mwezi.



-Spika wa bunge letu bwana Samuel Sitta anasema kuwa wabinge wanastahili kulipwa zaidi ya milioni 7 kwa mwezi apart from marupu rupu

-Pesa za kupigana vita Comoro tunazo

-Pesa za mabilioni kwa ajili ya ID cards pia tunazo

-Pesa za kumpa Mattaka na wajumbe wake kule NIC tunazo

This picture shows how out of touch tumekuwa na majority on the ground. Its been 2 years hakuna kinachojadiliwa zaidi ya UFISADI, ile ilani yetu ya UCHAGUZI imetupwa kapuni na mbaya zaidi wapinzani kama CHADEMA nao wako more out of touch kuliko wote on the ground kwani wao bora kukodi helicopter ili kuwakimbia wananchi wakati wa kampeni...

Pesa ya helicopter si wangewanunulia madawati hawa wanafunzi?

anyway nawasilisha.

Game Theory,
Hicho ni kipande very well presented.

Katika extravagant expenditure ya serikali yetu kwenye vitu visivyo na mantiki kwenye maendeleo ya serikali ya JK ni pamoja na new fleet ya VX5 wakati kulikuwa na latest models za Mercedes pale jengo leupe.

I commend you GT for that piece of thought; ujumbe umefika...
 
Amani, upendo, mshikamano... i hate this words used by politicians. We need somebody like gadafi. Dictatorship kind of a person will manage this country better than the ones we are fade up with. this is not the life we are supposed to be living.
 
Inahuzunisha kweli kuona jinsi shule za umma za sekondari na msingi jinsi zinavyopwaya miaka hii. Nyingi hazifurukuti tena kama ilivyokuwa maana hakuna resources au poor management au focus sio tena elimu bora bali bora elimu. Kuuambia umma tumejenga shule nyingi halafu mwanafunzi mpaka wa kidato chaa tatu hajui kusoma wala kuandika ni kujidanganya nafsi. Kweli kuna sehemu tulikosea na sasa tunayaona matunda yake. Tutawarithisha nini watoto wetu? Uongo, wizi na ujinga?Kama tutawarithisha ujinga basi siku wanaweza wakaigeuza TZ Somalia mana hawataona faida ya kutumia vichwa kufikiri.Watatumia vichwa kuhakikisha wanapata mlo na kutajirika.
 
Hali mbaya kiuchumi inatokana na udhaifu katika ukusanyaji wa mapato eg. kwenye madini, misitu na mali asili kwa ujumla, viwanda nk. Pia kile kiwango kidogo tunachopata kinaliwa na mafisadi mfano Kagoda peke yake wamekula 40 bil, twin towers zaidi ya 200bil, meremeta etc bil... bil... bil...

So, you can see, tatizo ni ufisadi nothing more! Yaani mapesa yaliyokwisha ibwa na yale yanayoendelea kuuibwa yangetatua most of our genuine infrastructure problems kama hilo la madarasa, madawati, mabweni nk.

Katika hali hiyo, nashindwa kukuelewa Mkuu GT kuiondoa vita dhidi ya ufisadi na kuirukia chopa ya CHADEMA. Our problems are because of poor leadership under CCM. Ndo maana tunatakiwa tuiondoe CCM au tuibadilisha (if possible). Vinginevyo tutajibana sana na bado hatuta tatua tatizo.

Think my dear, kama mfuko umetoboka hata ukijaza kiasi gani hautajaa, ziba mfuko kwanza ndipo uweke sarafu.
 
Ndio...kwa nini wakodi helicopter la mamilioni in the first place?

wanakimbia nini? hawataki kuona reality on the ground?

huku tunalalama CCM wafujaji alternative nao ndio kama hivyo kwa matanuzi hawawezeki

Wananchi wanalipia huduma mbalimbali za jamii ikiwa ni pamoja na kuimarisha shule zetu kupitia kodi ambayo serikali ya chama tawala inakusanya na kupanga matumizi yake.Ukisema CHADEMA kwanini walikodi helicopter la mamilioni, tujiulize je, walikodi kwa kutumia pesa ya nani? je CHADEMA wana access na kodi inayokusanywa?........Nadhani kama serikali yetu ingeweka vipaumbele sawa basi hii hali ya kukaa chini watoto wa shule ingepungua sana kama siyo kwisha kabisa.

Kuna kipindi huko nyuma miaka ya 90 nadhani, serikali ilianzisha juhudi maalumu kukusanya fedha za madawati chini ya aliyekuwa Katibu Mkuu ofisi ya rais - Paul Rupia na zilikusanywa fedha nyingi sana ila sikumbuki hatma yake ilikuwa nini.
 
Last edited:
Ndio...kwa nini wakodi helicopter la mamilioni in the first place?

wanakimbia nini? hawataki kuona reality on the ground?

huku tunalalama CCM wafujaji alternative nao ndio kama hivyo kwa matanuzi hawawezeki

Wanatumia helikopta maana CCM haijajenga mabarabara, sasa watawafikiaje wananchi?

Lakini kubwa zaidi zaidi ni ili waweze kuwakimbilia wananchi kwa haraka zaidi sio kuwakimbia. Kumbuka CCM ni wezi, na kwenye zoezi la upigaji na uhesabuji kura usipowamonita kwa ukaribu wanakuibia utashangaa. Helikopta inasaidia kuwarush viongozi kwenye kituo kitakachoripotiwa kukiuka taratibu, wizi wao na hali halisi on the ground iweze kuanikwa. Sioni tatizo la kukodi helikopta. Kuna mwenye kujua wanalipa bei gani?

Matatizo ya watoto kukaa chini au kukosa madarasa yapo maeneo mengi nchini. Hilo la Mbagala tunaweza kuelewa ni kwa sababu ya uzembe wa makusudi wa serikali hivi karibuni kwa sababu wazijuazo, lakini si jambo la ajabu Tanzania watoto kusoma dizaini hiyo.

Kama swala ni hela za kununua madawati sources ziko nyingi tu; hizo za helikopta ni nothing - nina hakika unanielewa.
 
Hali mbaya kiuchumi inatokana na udhaifu katika ukusanyaji wa mapato eg. kwenye madini, misitu na mali asili kwa ujumla, viwanda nk. Pia kile kiwango kidogo tunachopata kinaliwa na mafisadi mfano Kagoda peke yake wamekula 40 bil, twin towers zaidi ya 200bil, meremeta etc bil... bil... bil...

So, you can see, tatizo ni ufisadi nothing more! Yaani mapesa yaliyokwisha ibwa na yale yanayoendelea kuuibwa yangetatua most of our genuine infrastructure problems kama hilo la madarasa, madawati, mabweni nk.

Katika hali hiyo, nashindwa kukuelewa Mkuu GT kuiondoa vita dhidi ya ufisadi na kuirukia chopa ya CHADEMA. Our problems are because of poor leadership under CCM. Ndo maana tunatakiwa tuiondoe CCM au tuibadilisha (if possible). Vinginevyo tutajibana sana na bado hatuta tatua tatizo.

Think my dear, kama mfuko umetoboka hata ukijaza kiasi gani hautajaa, ziba mfuko kwanza ndipo uweke sarafu.

Hata hivo mkuu, hapa GT ana acha swali la msingi, kwanini chadema wachukue chopa?

Wanachukua chopa kwasababu barabara hazipitiki, miundo mbinu mibovu yote hayo kwa ajili ya ufisadi wa CCM karibia miaka 50 sasa, dawa ya kwanza kabisa is to take CHAMA CHA MAFISADI OUT! tuanze upya.

Hiyo picha haiwezi kuwastua hata, sana sana wanacho fikiria ni watumie mbinu gani ( vitambulisho? EPA nyingine?) ya kuchota pesa zetu ili wapate ushindi wa kishindo! wanafikiria matumbo yao tu na wake zao na vitukuu vyao.. si watanzania walala hoi kama hawa.
 
Yeye JK na hawa marafaiki zake mfano pichani (Tanil Somaiya) AMBAO WANAANGALIA kwa DHARAU wakati watoto wa sisi masikini wananyangwanywa HAKI zao na kukaa chini, inauma sana jamani saa ingine mtu unahisi bora ungezaliwa jangwani mbali ambako hamna serikali.

ila swali kwenu wana JF;

je huwa mnapigaga KURA aut tunaongeea sanaaa halafu kura mnaachia watu wasioolewa?
 

Attachments

  • Tanil Somaiya.bmp
    239.1 KB · Views: 175
Bobby umetoa point kweli kweli. ni keli kabisa CHADEMA hatustahili kuwagusa kwa hili kwani hawajapewa dhamana yoyote, na hapo walipo tu inabidi tuwashukuru kwa kujitahidi kwao kufungua macho watanzania. Laumuni waliokabidhiwa nchi na wanahodhi maliasili zote, lakini zinaishia kuibiwa na mafisadi ambao ndio wenyewe. Nawasilisha
 
Hii ndio hali halisi kule MBAGALA ..na ndio Tanzania ya 2009

enough with mijadala ya ufisadi...hali halisi on the ground ni hii...
maendeleo.jpg

Wanafunzi wa darasa la saba kutoka Mbagala Kuu jijini Dar es salaam wakiwa katika mitihani yao ya kila mwezi.


-Spika wa bunge letu bwana Samuel Sitta anasema kuwa wabinge wanastahili kulipwa zaidi ya milioni 7 kwa mwezi apart from marupu rupu

-Pesa za kupigana vita Comoro tunazo

-Pesa za mabilioni kwa ajili ya ID cards pia tunazo

-Pesa za kumpa Mattaka na wajumbe wake kule NIC tunazo

This picture shows how out of touch tumekuwa na majority on the ground. Its been 2 years hakuna kinachojadiliwa zaidi ya UFISADI, ile ilani yetu ya UCHAGUZI imetupwa kapuni na mbaya zaidi wapinzani kama CHADEMA nao wako more out of touch kuliko wote on the ground kwani wao bora kukodi helicopter ili kuwakimbia wananchi wakati wa kampeni...

Pesa ya helicopter si wangewanunulia madawati hawa wanafunzi?

anyway nawasilisha.

GT, are you not fooling us? Mbagala ndipo mabomu yalilipuka na kuathiri makazi. Isijekuwa picha hizo zimepigwa wakati shule zimefungwa ili kukarabatiwa na kulazimu watoto kusomea nje. Picha inaonyesha kuwa wako nje na si ndani maana wamekaa mchangani na kulia kabisa panaonekana ni uwazi wakati kushoto ni ukuta wa chumba kingine kilipoishia.

HAta hivyo, bweni la Mh mahiza kule Tanga ndio unquestionable. Sasa kama pale Tanga tu hardly 400 kms from Dar bweni ni mbavu za mmbwa kule Kakonko Kibondo hali ikoje?
 
Kaka mbona hiyo asavali ni town watoto wamekula asubuhi, wamevaa vizuri though kuna cocktail ya viatu, I will on short vocation kwa vijiji nitaleta picture halisi ya what going on in rural areas ni aibu na inatisha, watoto wanaenda shule bila kula kitu labda kiporo, bado watalima mashamba ya walimu na shule na kazi nyinginezo, uniform mhh sisemi na funza(matekenya) walishawala miguu watoto wanatembea kama wazee. Vitabu na vifaa vya kufundishia haba. Anyway nitakuleteeni some pictures from my trip. But on other hand I think we also need to start doing something kwaajili ya vijiji tutokavyo, tuache kuogopa uchawi tuwasaidie pale tunapoweza kwa kile kidogo tulichonacho maana si unajua tunaambukizana vijitabia. Kila mdanganyika anafikiri usawa wa tumbo siku hizi.
 
Back
Top Bottom