Picha iliyoamsha hisia "John P. Magufuli" Vs "John L. Thornton".

Picha iliyoamsha hisia "John P. Magufuli" Vs "John L. Thornton".

Kweli aliesema 'a picture is worth a thousand words hakukosea'

Wengine tunaona vingine kabisa

Tunaona mzungu akimtazama mtu usoni na kumuuliza
nani mwizi? na mswahili akilazimisha urafiki na kujifanya yashakwisha
We jamaa kama skosei shetani anakunyemelea
 
53b69271b49a3ecc3e3b264f965b8d98.jpg

Raisi John Magufuli ameoneka kummudu sana Huyu mzungu, picha inafafanua Uchungu na Confedence ya juu mno..

Kama ni Caption ningesema hivi.

JPM : You must pay our money , no way , Ok ? .

JLT : Yes Mr. President

Pale unapofumaniwa na mwenye Mke lazima uwe mpole!
Nnaloliona watalipa kwa kuwakata Acacia yani Barrik inaweza isile kwao bali hao middlemen wao.
 
magufuli ni mchumia tumbo km walivoccm wote....ameshindwa na ama amedanganya kila alichowahi kusimamia
1. Samaki wa magufuli alishindwa na kuliinhizia taifa hasara kubwa
2. Lugumi hiyo yeye yumo na imemshinda hawezi kujichukulia hatua
3. Kivuko kibovu alileta yeye wala hajajikamata na kujishitaki
4. BASHITE tu amemshinda sembuse Marais waliopita ambao alishasalimu amri hadi kuteua mke wa rais kuwa mbunge
5. Hajaweka mezani mkataba wa chatointernational airport???!!
6. Yeye binafsi hajaweka wazi mkataba wa bormberdier watz wanajua dili alizofanya yeye binafsi....
7. Hajaonesha hata nukta ya uzalendo kwa yale ambayo yeye binafsi ameshinikiza na kupazimishwa yafanyike.
8. Watz mtachezeshwa sn shere na ccm hukumnawalaumu wazungu na wachina kwa kiwaibia wkt wezi wenu ni ccmmnaowachekea
Angalia usije ukaletewa sabuni na nduguzo ukiwa JELANI......🙂🙂🙂
 
Kweli aliesema 'a picture is worth a thousand words hakukosea'

Wengine tunaona vingine kabisa

Tunaona mzungu akimtazama mtu usoni na kumuuliza
nani mwizi? na mswahili akilazimisha urafiki na kujifanya yashakwisha


Dr hakuamimi Prof alipomwambia alipata PhD akiwa na miaka 28 tu. Yeye kaipata akiwa na 55!
 
Ila kwa upande mwingine utaona mzungu anavyobehave mbele ya mkuu wa nchi..Inaonyesha yuko obidient na tayari kusikiliza..huezi kusimama na mtu mwenye mamlaka yake tena nyumbani kwake ukaweka mikono kiunoni au mfukoni.. hata kama we ndo una haki!Mi naona highest level of civilization kwa huyo mzungu.Ni mtazamo tu
 
53b69271b49a3ecc3e3b264f965b8d98.jpg

Raisi John Magufuli ameoneka kummudu sana Huyu mzungu, picha inafafanua Uchungu na Confedence ya juu mno..

Kama ni Caption ningesema hivi.

JPM : You must pay our money , no way , Ok ? .

JLT : Yes Mr. President
Humble men are the most powerful ones...yet very good upstairs! Don't under estimate them!
 
Hiyo picha ingewekwa bila maneno nikaambiwa nitoe neno, huyo mzungu ni kama anamwangalia mheshimiwa kwa dharau..ukute mkuu alikua anapiga lugha kigeni, ukichanganya na kujizuia kucheka jamaa yuko relaxed sana, hiyo ni kwa mujibu wa lugha ya muonekano wa jamaa, hana wasiwasi.
Kweli kabisa..Yuko very calm!sijui niseme anaonyesha kujiamini kwa hali ya juu.
 
Ila kwa upande mwingine utaona mzungu anavyobehave mbele ya mkuu wa nchi..Inaonyesha yuko obidient na tayari kusikiliza..huezi kusimama na mtu mwenye mamlaka yake tena nyumbani kwake ukaweka mikono kiunoni au mfukoni.. hata kama we ndo una haki!Mi naona highest level of civilization kwa huyo mzungu.Ni mtazamo tu
Mzungu mzungu tu hata angekuja kavaa Boxer mngesema level of civilization..
 
" ...........hakika wewe ni mzalendo wa kweli kwa nchi yako, viongozi wote na wananchi kwa ujumla wakifuata nyayo zako za kuizalendo basi tanzania itaheshimika..... ......"
 
Unataka kujua maoni yangu kuhusu picha au nnavyowaogopa wazungu?

Nafanya nao kazi, nawachukia kuliko unavyofikiri. Kubwa zaixi ni kwa unafiki wao wa kujifanya wanatusaidia huku wanatunyonya na kutukandamiza.

Hilo la kuwaogopa wazungu nafikiri umekosea, naheshimu kila mtu, bila kujali rangi, kabila au kitu chochote kile.
Maelezo yako ya mwanzo hayashabihiani na unachokisema hapa mkuu.
Wewe ni moja kati wale wanaowahanya watu weupe.
 
Dr hakuamimi Prof alipomwambia alipata PhD akiwa na miaka 28 tu. Yeye kaipata akiwa na 55!
Lakini pamoja na hayo kakimbia fasta kutoka Canada kutafuta negotiations. [emoji39] kumbe haijalishi ulisoma lini mkuu akikuita huna budi kuitika tena fasta
 
53b69271b49a3ecc3e3b264f965b8d98.jpg

Raisi John Magufuli ameoneka kummudu sana Huyu mzungu, picha inafafanua Uchungu na Confedence ya juu mno..

Kama ni Caption ningesema hivi.

JPM : You must pay our money , no way , Ok ? .

JLT : Yes Mr. President
Kuligusa koti lake kwa mikono kumemshangaza sana na kumchanganya mzungu tajiri.
 
Za JK akiwa mbele ya mzungu zinakuaje? Any kumbukumbu
 
Kweli aliesema 'a picture is worth a thousand words hakukosea'

Wengine tunaona vingine kabisa

Tunaona mzungu akimtazama mtu usoni na kumuuliza
nani mwizi? na mswahili akilazimisha urafiki na kujifanya yashakwisha
Umekuwa defensive sana wa acacia na mikataba yao ya kinyonyaji, poleni sana
 
Back
Top Bottom