Jamani inauma...
Ndugu kwa kasi ya mapinduzi tunayoitaka asilimia 100 za utendaji wa Regia zinahitajika na Bwana Mungu atuongezee watu wengine kama yeye lukuki ili tusichelewe kupata ukombozi maana kama tutafanya asililmia kumi tu ya aliyokuwa anayafanya itatuchukua miaka mingi sana kukombolewa mimi naona tuongeze zaidi. Bwana atufariji kwa kutupa kina Regia wengine wengi.Katika kipindi hiki ambacho watanzania wamechoshwa na uoza wa viongozi waliopo madarakani, tunapoondokewa na kijana mahiri Kama Regia, ni pigo kubwa kwa taifa. Taifa linahitaji kuwa na mamilioni ya vijana kama Regia ili kuleta mapinduzi ya kifikra na ya kiutendaji. Regia ametoa mchango mkubwa kwa taifa, nasi tumuenzi kwa kuendeleza angalau asilimia 10 ya yale aliyoyaamini na kuanza kuyatekeleza. Bwana ameba na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihidimiwe. Amen
poleni sana wafiwa
ungekuwa mwana JF umepewa mamlaka ya Mungu Nani ungemchukua kati ya hawa kwa wakati huu