=The Finest;3147332]Wakuu hizi ndio picha nilizoweza kupiga kwenye Ibada ya kumuombea Regia Mtema iliyofanyika Kanisa Katoliki Tabata
apumzike kwa amani, tumuenzi kwa kuendelea kutetea haki za m'tz & kujikwamua kiuchumi....bye dadaawakuu hizi ndio picha nilizoweza kupiga kwenye ibada ya kumuombea regia mtema iliyofanyika kanisa katoliki tabata
Asante kwa taswiras ulizotuwekea, next time jaribu kuweka kidogo na introduction ya kutujuza ibada iliongozwa na nani na mengine macheche yaliyojilia. Thanks.