Picha: Hospitali ya Rufaa ya Chato iliyowekwa jiwe la msingi na Rais Filipe Nyusi. Kuhudumia takriban watu milioni 18 mikoa ya Kanda ya Ziwa

Chato tena!
IMG-20210111-WA0143.jpg
 
Binafsi nafikiri na nashauri Serikali itoe idadi ya watumishi wanaohitajika hapo, halafu waajiriwe wapya wote. Ndipo uanze uhamisho wa kubadilishana na wazoefu/wakongwe. Lkn tukihamishia tu kutoka kwenye hoslitali zilizopo tutatengeneza upungufu mkubwa sana kwenye hoslitali nyingine bila ulazima huo.
Serikali ni sikivu imekusikia!
 
Hii ni kwa mujibu wa wagonjwa 700 kwa siku then hapo hapo tunaambiwa wagonjwa 18m kwa mwaka
Wapi ulipoambiwa wagonjwa milioni 18?

Watu milioni 18 wa kanda ya ziwa watatumia hospitali hiyo pale " watakapougua" na siyo kwamba wataugua wote kila siku kuna wanaokaa miaka hawajagusa hospitali!

Uwe unaelewa usiwe kama Covid 19 wa Ufipa.
 
Mpaka wapate Rais wa hukohuko.
Hivi kusini wana Hospitali kubwa ama ya Rufaa yoyote yaani Ruvuma, Lindi, Mtwara pamoja na maeneo ya nyanda za kusini. Maana sijawahi kusikia na kama haipo si ingekuwa vyema nao wakapatiwa
 
Back
Top Bottom