Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,845
Chato tena!
Chato tena!
Chukua harufu umezeeKujilisha upepo
Serikali ni sikivu imekusikia!Binafsi nafikiri na nashauri Serikali itoe idadi ya watumishi wanaohitajika hapo, halafu waajiriwe wapya wote. Ndipo uanze uhamisho wa kubadilishana na wazoefu/wakongwe. Lkn tukihamishia tu kutoka kwenye hoslitali zilizopo tutatengeneza upungufu mkubwa sana kwenye hoslitali nyingine bila ulazima huo.
Ulisoma QM wewe?!700×365=18,000,000✓✓✓
Hahahahha
Ipo siku tutaheshimiana tu juu ya matumizi haya mabaya ya rasilimali za taifa.
Hii ni kwa mujibu wa wagonjwa 700 kwa siku then hapo hapo tunaambiwa wagonjwa 18m kwa mwakaUlisoma QM wewe?!
Unajidharaulisha bure!
Bado Chato stadium, Chato University ndio itakuwa yametimiaTumechelewa sana.....
JPM ameijenga ile hospitali ya RUFAA iliyoshindikana toka UHURU pale MARA....
Wapi ulipoambiwa wagonjwa milioni 18?Hii ni kwa mujibu wa wagonjwa 700 kwa siku then hapo hapo tunaambiwa wagonjwa 18m kwa mwaka
Eti Mwanza 🤣mikoa hiyo ni ipi?
Kwani wewe ulipokata bima ya afya ni magonjwa au mgonjwa mtarajiwa?Watu milioni 18, kwamba wakazi wa huko wote ni wagonjwa?
Hata Kilimanjaro mnakaribishwa!Eti Mwanza 🤣
Ila ni sawa wagonjwa kusafirishwa kutoka Mwanza kwenda kuishi Chato?Ni Jambo jema sana, na dodoma ikipatikana ya rufaa zitasaidia kuokoa maisha bila gharama zingine za kusafirisha wagonjwa kwenda kuishi dar.
Hivi kusini wana Hospitali kubwa ama ya Rufaa yoyote yaani Ruvuma, Lindi, Mtwara pamoja na maeneo ya nyanda za kusini. Maana sijawahi kusikia na kama haipo si ingekuwa vyema nao wakapatiwa
Mataga zile bima ya afya kwa kila mtanzania mnaanza kuzitoa lini?Kwani wewe ulipokata bima ya afya ni magonjwa au mgonjwa mtarajiwa?
Kupanga ni kuchagua bwashee.Hata kule bagamoyo ipo hospital kubwa Kama hyo.
Wenzio akina Halima James Mdee wameshapewa bwashee!Mataga zile bima ya afya kwa kila mtanzania mnaanza kuzitoa lini?