Rais Samia kuzindua hospitali ya Rufaa Mkoa wa Lindi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,114
49,840
Pamoja na ufuatiliaji wangu wote wa mambo ya Serikali, ziara ya Rais Samia Mikoa ya Kusini ndio imefanya nimejua kwamba kumbe Mama amejenga bonge la hospital Mpya ya Mkoa wa Lindi.

Nafahamu Kuna Mikoa zinajengwa hospital kama hii mfano Shinyanga,Songea, Kigoma, Ukerewe na Rukwa(Mpango) ila sikuwahi jua Kwa upande wa Lindi.

Mama anafanya miradi Mingi sana kwenye sekta zote ila inaonekana Kitengo cha habari kwa Umma cha Serikali kinapwaya kwenye kuhatarisha Umma au kuna kusudi inafanywa ili ionekane hakuna kitu Rais anafanya.

Kukitokea Changamoto hiyo ndio inashikiwa bango kana kwamba bila hiyo Changamoto hakuna maisha eg Bandari vs DP World, mafuta na Sasa umeme. Ukiwakuta wanavyo comments huko mitandaoni unaweza dhani Kila kitu kimesimama na maisha ni very worse.

Kuna Ile awamu iliyopita yaani Kila kamradi kalishikiwa bango kuanzia Stand Hadi vyoo vya shule bila kusahau viwanda vya vyerehani nk. Je, Mama hana Kitengo Cha Propaganda? Maana kwa jinsi awamu hii ilivyo na utitiri wa miradi nilitegemea mambo ingekuwa smooth sana au tatizo ni nyota?

My Take
Ingekuwa ni Ile awamu ya Wazalendo wa Chato tusingeekunywa maji maana hata hospital ya Kanda ya Kusini Mtwara tukiambiwa ni wao wamejenga kumbe mradi ulinza na Nyerere 1978 ukasima ndio kaja uendeleza na Samia kaukamilisha.

Hongera Rais Samia ila Sasa jitahidi kuwa na wasemaji wako vinginevyo hata hii miradi utaambiwa ni miradi ya Mwendazake.
-1026336207.jpg
-144532897.jpg
-858653199.jpg
110059642.jpg
-1514525074.jpg
1475192216.jpg
-1584647326.jpg

HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA LINDI KUZINDULIWA NA RAIS SAMIA LEO

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan leo mchana anatarajia kuweka jiwe la Msingi Hospitali ya Rufaa Lindi (MITWERO), ambayo kwa hadhi yake inafanana kabisa na Hospitali zingine kubwa Kama Muhimbili ya Dar es Salaam.

Aidha wananchi wa Mkoani humo wamefurahishwa sana na jitihada hizo za Mhe. Rais kuwajengea Hospitali hiyo kubwa na kupunguza kero waliyokuwa wanaipata hapo Mwanzo kusafiri nje ya mkoa kupata huduma ya matibabu kwa yale Magonjwa Sugu.
 
Wewe ni mzima kichwani? Kabla hujavuta bangi uwe unakula na kushiba
Mapunguani ya ccm kama wewe, hayanitishi! Kwani uwongo kwamba, kumuona dk 30000? Je kipindi cha nyuma ilikuwa hivyo? Mwananchi umemwekea kodi kibao, hapumui, umeme ni anasa kwa mwananchi tofauti na kipindi cha juzi juzi! Matibabu ndo usiseme, kazi kuwaingiza kwenye mfumo wa malipo wake za marais huku mkiondoa bima ya watoto ambao hawana hatia

CCM ni shetani mkuu!

Mwananchi unayemuwekea majengo hayo ndo huyo anayekula mara moja kwa siku, ya nini sasa hayo?

Pimbi kabisa wewe
 
Mapunguani ya ccm kama wewe, hayanitishi! Kwani uwongo kwamba, kumuona dk 30000?

Mwananchi unayemuwekea majengo hayo ndo huyo anayekula mara moja kwa siku, ya nini sasa hayo?

Pimbi kabisa wewe
Kuumwa kwenyewe kwa mwaka mara moja ila kula tunahitaji kila siku maendeleo ya watu ni muhimu pia serikali isijisahau...me naishi lindi tena jirani na hiyo hospitali pembeni kuna nyumba za udongo unakuta wamama wanaishi hapo wanagonga mawe kokoto utawaonea huruma..hawana hio hela ya kwenda rufaa
 
Pamoja na ufuatiliaji wangu wote wa mambo ya Serikali, ziara ya Rais Samia Mikoa ya Kusini ndio imefanya nimejua kwamba kumbe Mama amejenga bonge la hospital Mpya ya Mkoa wa Lindi.

Nafahamu Kuna Mikoa zinajengwa hospital kama hii mfano Shinyanga,Songea, Kigoma, Ukerewe na Rukwa(Mpango) ila sikuwahi jua Kwa upande wa Lindi.

Mama anafanya miradi Mingi sana kwenye sekta zote ila inaonekana Kitengo cha habari kwa Umma cha Serikali kinapwaya kwenye kuhatarisha Umma au kuna kusudi inafanywa ili ionekane hakuna kitu Rais anafanya.

Kukitokea Changamoto hiyo ndio inashikiwa bango kana kwamba bila hiyo Changamoto hakuna maisha eg Bandari vs DP World, mafuta na Sasa umeme. Ukiwakuta wanavyo comments huko mitandaoni unaweza dhani Kila kitu kimesimama na maisha ni very worse.

Kuna Ile awamu iliyopita yaani Kila kamradi kalishikiwa bango kuanzia Stand Hadi vyoo vya shule bila kusahau viwanda vya vyerehani nk. Je, Mama hana Kitengo Cha Propaganda? Maana kwa jinsi awamu hii ilivyo na utitiri wa miradi nilitegemea mambo ingekuwa smooth sana au tatizo ni nyota?

My Take
Ingekuwa ni Ile awamu ya Wazalendo wa Chato tusingeekunywa maji maana hata hospital ya Kanda ya Kusini Mtwara tukiambiwa ni wao wamejenga kumbe mradi ulinza na Nyerere 1978 ukasima ndio kaja uendeleza na Samia kaukamilisha.

Hongera Rais Samia ila Sasa jitahidi kuwa na wasemaji wako vinginevyo hata hii miradi utaambiwa ni miradi ya Mwendazake.
View attachment 2754225View attachment 2754226View attachment 2754227View attachment 2754228View attachment 2754229View attachment 2754230View attachment 2754231
HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA LINDI KUZINDULIWA NA RAIS SAMIA LEO

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan leo mchana anatarajia kuweka jiwe la Msingi Hospitali ya Rufaa Lindi (MITWERO), ambayo kwa hadhi yake inafanana kabisa na Hospitali zingine kubwa Kama Muhimbili ya Dar es Salaam.

Aidha wananchi wa Mkoani humo wamefurahishwa sana na jitihada hizo za Mhe. Rais kuwajengea Hospitali hiyo kubwa na kupunguza kero waliyokuwa wanaipata hapo Mwanzo kusafiri nje ya mkoa kupata huduma ya matibabu kwa yale Magonjwa Sugu.
Pamoja na sifa zote hajajenga yeye ni kodi zetu wananchi ndio zimefanya hiyo kazi .. Na in fact hayo ni majukumu ya waziri wa afya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hosipitali za nini ikiwa hazina msaada kwa walengwa?

Kumuona dk 30,000, kipimo 80,000 tena cha kawaida kabisa! bado matibabu, tuisifu serikali kwenye haya maumivu?

Pumbavu kabisa wewe!
Ulitaka ukamuone bure,kwa waganga na mitume na manabii wa uongo mbona mnatoa
 
Pamoja na ufuatiliaji wangu wote wa mambo ya Serikali, ziara ya Rais Samia Mikoa ya Kusini ndio imefanya nimejua kwamba kumbe Mama amejenga bonge la hospital Mpya ya Mkoa wa Lindi.

Nafahamu Kuna Mikoa zinajengwa hospital kama hii mfano Shinyanga,Songea, Kigoma, Ukerewe na Rukwa(Mpango) ila sikuwahi jua Kwa upande wa Lindi.

Mama anafanya miradi Mingi sana kwenye sekta zote ila inaonekana Kitengo cha habari kwa Umma cha Serikali kinapwaya kwenye kuhatarisha Umma au kuna kusudi inafanywa ili ionekane hakuna kitu Rais anafanya.

Kukitokea Changamoto hiyo ndio inashikiwa bango kana kwamba bila hiyo Changamoto hakuna maisha eg Bandari vs DP World, mafuta na Sasa umeme. Ukiwakuta wanavyo comments huko mitandaoni unaweza dhani Kila kitu kimesimama na maisha ni very worse.

Kuna Ile awamu iliyopita yaani Kila kamradi kalishikiwa bango kuanzia Stand Hadi vyoo vya shule bila kusahau viwanda vya vyerehani nk. Je, Mama hana Kitengo Cha Propaganda? Maana kwa jinsi awamu hii ilivyo na utitiri wa miradi nilitegemea mambo ingekuwa smooth sana au tatizo ni nyota?

My Take
Ingekuwa ni Ile awamu ya Wazalendo wa Chato tusingeekunywa maji maana hata hospital ya Kanda ya Kusini Mtwara tukiambiwa ni wao wamejenga kumbe mradi ulinza na Nyerere 1978 ukasima ndio kaja uendeleza na Samia kaukamilisha.

Hongera Rais Samia ila Sasa jitahidi kuwa na wasemaji wako vinginevyo hata hii miradi utaambiwa ni miradi ya Mwendazake.
View attachment 2754225View attachment 2754226View attachment 2754227View attachment 2754228View attachment 2754229View attachment 2754230View attachment 2754231
HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA LINDI KUZINDULIWA NA RAIS SAMIA LEO

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan leo mchana anatarajia kuweka jiwe la Msingi Hospitali ya Rufaa Lindi (MITWERO), ambayo kwa hadhi yake inafanana kabisa na Hospitali zingine kubwa Kama Muhimbili ya Dar es Salaam.

Aidha wananchi wa Mkoani humo wamefurahishwa sana na jitihada hizo za Mhe. Rais kuwajengea Hospitali hiyo kubwa na kupunguza kero waliyokuwa wanaipata hapo Mwanzo kusafiri nje ya mkoa kupata huduma ya matibabu kwa yale Mag
Pamoja na ufuatiliaji wangu wote wa mambo ya Serikali, ziara ya Rais Samia Mikoa ya Kusini ndio imefanya nimejua kwamba kumbe Mama amejenga bonge la hospital Mpya ya Mkoa wa Lindi.

Nafahamu Kuna Mikoa zinajengwa hospital kama hii mfano Shinyanga,Songea, Kigoma, Ukerewe na Rukwa(Mpango) ila sikuwahi jua Kwa upande wa Lindi.

Mama anafanya miradi Mingi sana kwenye sekta zote ila inaonekana Kitengo cha habari kwa Umma cha Serikali kinapwaya kwenye kuhatarisha Umma au kuna kusudi inafanywa ili ionekane hakuna kitu Rais anafanya.

Kukitokea Changamoto hiyo ndio inashikiwa bango kana kwamba bila hiyo Changamoto hakuna maisha eg Bandari vs DP World, mafuta na Sasa umeme. Ukiwakuta wanavyo comments huko mitandaoni unaweza dhani Kila kitu kimesimama na maisha ni very worse.

Kuna Ile awamu iliyopita yaani Kila kamradi kalishikiwa bango kuanzia Stand Hadi vyoo vya shule bila kusahau viwanda vya vyerehani nk. Je, Mama hana Kitengo Cha Propaganda? Maana kwa jinsi awamu hii ilivyo na utitiri wa miradi nilitegemea mambo ingekuwa smooth sana au tatizo ni nyota?

My Take
Ingekuwa ni Ile awamu ya Wazalendo wa Chato tusingeekunywa maji maana hata hospital ya Kanda ya Kusini Mtwara tukiambiwa ni wao wamejenga kumbe mradi ulinza na Nyerere 1978 ukasima ndio kaja uendeleza na Samia kaukamilisha.

Hongera Rais Samia ila Sasa jitahidi kuwa na wasemaji wako vinginevyo hata hii miradi utaambiwa ni miradi ya Mwendazake.
View attachment 2754225View attachment 2754226View attachment 2754227View attachment 2754228View attachment 2754229View attachment 2754230View attachment 2754231
HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA LINDI KUZINDULIWA NA RAIS SAMIA LEO

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan leo mchana anatarajia kuweka jiwe la Msingi Hospitali ya Rufaa Lindi (MITWERO), ambayo kwa hadhi yake inafanana kabisa na Hospitali zingine kubwa Kama Muhimbili ya Dar es Salaam.

Aidha wananchi wa Mkoani humo wamefurahishwa sana na jitihada hizo za Mhe. Rais kuwajengea Hospitali hiyo kubwa na kupunguza kero waliyokuwa wanaipata hapo Mwanzo kusafiri nje ya mkoa kupata huduma ya matibabu kwa yale Magonjwa Sugu.
buda, trust the process akili yako imetikisika
 
Back
Top Bottom