Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Hizi mambo mara ya mwisho kuziona ilikuwa ni 2008. Nimeshtuka sana pale nilipocheki chumba cha mfanyakazi mwenzangu
Ona sasa!
Ona sasa!
Ukiona umefanikiwa usiwashangae ambao bado. Cha ajabu nini sasa hapo?Hizi mambo mara ya mwisho kuziona ilikuwa ni 2008. Nimeshtuka sana pale nilipocheki chumba cha mfanyakazi mwenzangu
Ona sasa!View attachment 2849153
Huyo mwanamke ni nyonya damu. Kama unabisha wewe angalia hiyo picha vizuri.Hizi mambo mara ya mwisho kuziona ilikuwa ni 2008. Nimeshtuka sana pale nilipocheki chumba cha mfanyakazi mwenzangu
Ona sasa!View attachment 2849153
Ukiona umefanikiwa usiwashangae ambao bado. Cha ajabu nini sasa hapo?
Huyo mwanamke ni nyonya damu. Kama unabisha wewe angalia hiyo picha vizuri.
Kataa nyonya damu. Kataa kuvuka mwaka na nyonya damu
😂😂Hapana mkuu. Sikuwa na maana hiyo. Jamaa ananyimwa mbususu hivyo huku anaonaWe jamaa una miaka mingapi!? Eti nawewe siku moja unakuja kuwa kiongozi wa nchi hii kwa mitazamo ya hivi!!
Ukiachana na kulala hivyo tambua kuna watanzania wanalalia ngozi za wanyama,kuna watanzania wanashindia mlo mmoja,kuna watanzania wanakufa kwa kukosa hata mia tano ya Panadol kuna watanzania wana lala chumba kimoja na mabinti au vijana wao walio katika barehe
Ukifanikiwa acha kuchukulia kila mtu kafanikiwa,nyie ndo watu ambao ukila chips kuku uanadhani na watanzania wote siku hiyo wamekula chips kuku,pole sana yaani!!
Hiyo siyo kutenganisha wanandoa bali chumba kimoja kinagawanywa sehemu mbili ipatikane chumba na sebule.
Ipo siku watatoboa maisha watasahau yote.
Na kweli mkuu, tabia ya kuweka mashuka kiasi hicho ni dalili ya uchafu. Huko utakuta kunguni wamejazana kitandani jumlisha manguo ambayo hayajakunjwa yametupiwa kitandaniWanaomiliki chumba kimoja wako wengi tu. Sema siku hizi watu hawaweki pazia. Chumba kinapangwa vizuri sana maisha yanawndelea. Kuna siku Dina Marios aliendesha single room challenge watu kibao walitupia video kuonesja mpangilio wa hizo single rooms. Aliyepangilia vizuri chumba chake alipata zawadi
Mwamba kazingua kaweka kondom sita mezani dem lazima apandishe dau.😂😂Hapana mkuu, sikumaanisha hivyo. Ninamhurumia tu mshkaji anavyoiangalia nyapu kwa huruma pasi na kupewa mzigo. Mwanamke amejikausha kabisaa kana kwamba hana habari
Ila wanawake wengine ni wakatili asikwambie mtu
Kuna sheria inasema hakuna kuoana bila kuwa na hela?😂 Sasa ni kwanini wanaoana ilihali wote hawana hela?
Itakuwaje kwa watoto wao kama watakuja kuwafungulia kesi ya kuwazaa katika maisha ya shida, ama kuwazaa pasi na ridhaa zao?Kuna sheria inasema hakuna kuoana bila kuwa na hela?
Kila mtu na mtazamo wake, uwazavyo sivyo wawazavyo watu wote.
So,waliooana wakiwa na hela,hawatenganishi vitanda? Hela haioi,ungeuliza kwa nini labda wafikie uamuzi huo. Wenye nyumba kubwa na hela zao,wanatengana vyumva. Wenye hali duni,wanatenganisha vitanda.😂 Sasa ni kwanini wanaoana ilihali wote hawana hela?
Unajuaje kama maisha yao yote watakuwa na kipato kidogo?Itakuwaje kwa watoto wao kama watakuja kuwafungulia kesi ya kuwazaa katika maisha ya shida, ama kuwazaa pasi na ridhaa zao?
Tutafuteni hela ndugu zanguni
Yote kwa yote, uzi haukuwa na maana hii, nilimaanisha mshkaji anatia huruma huku binti akitia mgomo kwenye suala zima la kumpatua mshkaji mbususu